Vyombo vya Usafiri Ndege, Meli, Treni na Nyambizi vinasafirije wakati wa mvua kali?

Kennedy

JF-Expert Member
Dec 28, 2011
48,928
54,150
Wakuu kuna usafiri wa aina kadhaa ktk Dunia yetu,kama nilivyotaja hapo juu. Kuna wakati majira ya mvua nyingi na kali ukiwa kwenye gari huwa hata wiper zinashindwa kufuta kioo vizuri na kumlazimu dereva kupunguza mwendo na ikilazimu kuegesha chombo pembeni mwa barabara kabisa.

Vipi kuhusu usafiri tajwa wao huwa majira ya mvua kali wanafanyaje inapotokea kwa mwongoza chombo kushindwa ona mbele? Najua kuna watu wameshasafiri ktk vyombo vyote na katika hali zote, hebu tufahamisheni inakuwa kama gari una park au safari inaendelea? Karibuni kwa michango tueleweshane wakuu.
 
Ndege, Meli, Nyambizi wanatumia/fuata direction na si macho, Treni inafuata rail way kama maji yanavyopita kwenye bomba
 
Ndege, Meli, Nyambizi wanatumia/fuata direction na si macho, Treni inafuata rail way kama maji yanavyopita kwenye bomba
treni huwa inasitisha safari mdau,,,,,,hii imetokea sana hapa tanzania si kwa tazara wala reli ya mwakyembe
 
treni huwa inasitisha safari mdau,,,,,,hii imetokea sana hapa tanzania si kwa tazara wala reli ya mwakyembe

ni kweli, tatizo kubwa huwa ni kupotea potea kwa mawasiliano kipindi cha mvua kubwa... kati ya ndege/train/meli na station.. na mwaka jana train ziligongana huko indonesia kwasababu ya kukosa muongozo wa station master
 
Kennedy. Narubongo.

Most airliners are equipped to land in zero visibility, at airports that are also appropriately equipped. It's called a Category IIIc ILS landing. Zero-visibility landings are carried out by the on-board computers rather than the pilots. Pilots cannot fly this type of landing because they have to be able to see the runway in order to land, but computers can do it because they use radio signals from Instrument Landing System transmitters to guide the aircraft to a safe landing.


Landing under computer control is called autolanding. The Category IIIc landing is the most stringent type of autolanding, since it requires no visibility at all. Other categories of ILS landings can be carried out by a computer or by the pilots, but they have minimum visibility requirements that are greater than zero.


Autolanding requires specially certified equipment on the airliner and special training for pilots. Most airliners and pilots are certified for autoland.


Autolanding doesn't require much pilot flying skill, since it is carried out by a computer and the pilots just watch. Landing with the computers turned off requires much more skill. However, during autolanding, pilots must watch the computers carefully and be prepared to take action if something goes wrong, because flying in zero visibility or very poor visibility is a delicate business and if the computers fail, the pilots have to act immediately to abandon or continue the landing (in zero visibility, they have no choice but to abandon the landing and go somewhere else).


Most landings are carried out by the pilots, who turn off the autopilot (if it was in use) at some point before landing and then take over control to land by hand. Autolandings are used when visibility is very poor. The actual "zero-zero" landing of Category IIIc is not currently used in actual operations, because it allows you to land, but with no visibility you still can't see well enough to taxi to the gate, so it's not very practical.

By the way:

Cat (1st of all means Category)
Cat I : means that Decision height for the pilot is 200 FT not lower
(WHICH MEANS HE MUST BE ABLE TO SEE THE RUNWAY lights/App Lights at 200 Feet)
Cat II : means that Decision height for the pilot is 100 FT not lower
(WHICH MEANS HE MUST BE ABLE TO SEE THE RUNWAY lights/App Lights at 100 Feet)
Cat III there is 3 sections of this Category A B C
Catt iii A decision hight 100
Cat iii b decision hight 50
Cat iii C There is no decision height

Angalia hii hapa chini


 
Last edited by a moderator:
Mkuu Dotworld pamoja na wengine mliochangia mmetisha sana kwa michango murua.:welcome:
 
treni huwa inasitisha safari mdau,,,,,,hii imetokea sana hapa tanzania si kwa tazara wala reli ya mwakyembe

train haiathiriwi kwa mvua ila train za mwakyembe huwa zinasitisha safari kwa hofu ya kuharibika miundombinu ya reli kwa sababu ni mibovu
 
Wakuu kuna mwaka japo siukumbuki vizuri,NYAMBIZI ya JESHI la RUSSIA iliua wanajeshi wote hebu mwenye kujua ilipatwa na hitarafu gani mpaka ikashindwa kuibuka juu,kukosa hewa ndani. Hatimaye kuleta maafa!
 
Wakuu kuna mwaka japo siukumbuki vizuri,NYAMBIZI ya JESHI la RUSSIA iliua wanajeshi wote hebu mwenye kujua ilipatwa na hitarafu gani mpaka ikashindwa kuibuka juu,kukosa hewa ndani. Hatimaye kuleta maafa!

 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom