Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,426
- 911,172
Ukisoma magazeti ya leo na baadhi ya TV zenye ubia na serikali ya kifisadi ya JK na CCM yake utaona kuna msukumo wa kukichafua Chadema na hususani Dr. Slaa kuwa ni chama cha wahuni na hawafai uongozi na hivi ni baadhi ya vichwa vya habari vya magazeti hayo:-
RAI:.........."Slaa hafai kuwa Raisi".....................sababu wanayoitaja ni udini na ya kuwa ni mropokaji.
UHURU..........................."Aliyemtusi JK mbaroni...........Chadema kuendelea kumwaga damu Kibaha............mmoja alazwa Hospitali ya Tumbi............
MTANZANIA...................."JK aiteka Mwembeyanga.............Mdahalo wa JK kesho...kujibu maswali ya waandhishi wa habari..........."
Hata gazeti ambalo haliegemei upande wowote la Majira lilishindwa kujizuia hata ikabidi limnukuu kauli hii ya kishambenga ya JK iliyosema ......."JK:Wapinzani ni majuha wa matusi......"
Hizi njama tuliziona mwaka 1995 wakati vyombo vya habari vyenye ubia na CCM vilipowavalia njuga NCCR-MAGEUZI na hususani Bw. Mrema lakini safari hii tunasema........LAKINI SAFARI HII TUNASEMA TENA HATUDANGANYIKI TENA..............
RAI:.........."Slaa hafai kuwa Raisi".....................sababu wanayoitaja ni udini na ya kuwa ni mropokaji.
UHURU..........................."Aliyemtusi JK mbaroni...........Chadema kuendelea kumwaga damu Kibaha............mmoja alazwa Hospitali ya Tumbi............
MTANZANIA...................."JK aiteka Mwembeyanga.............Mdahalo wa JK kesho...kujibu maswali ya waandhishi wa habari..........."
Hata gazeti ambalo haliegemei upande wowote la Majira lilishindwa kujizuia hata ikabidi limnukuu kauli hii ya kishambenga ya JK iliyosema ......."JK:Wapinzani ni majuha wa matusi......"
Hizi njama tuliziona mwaka 1995 wakati vyombo vya habari vyenye ubia na CCM vilipowavalia njuga NCCR-MAGEUZI na hususani Bw. Mrema lakini safari hii tunasema........LAKINI SAFARI HII TUNASEMA TENA HATUDANGANYIKI TENA..............