Wadai vyombo vingi vya Tanzania bara vimejiegmeza zaidi ktk udini badala uhalisia.
Wanasema hii kutokana na vyombo hivyo wahariri na wakuu wake ni wa dini fulani.
wamesema Vyombo vingi vya habari vimegeuza picha ya tukio la Zanzibar kwa manufaa ya dini yao
Kwa mfano wamekimbia kuwahoji wakuu wa UAMSHO huku wakuu hao wakiwa tayari kuzungumza nao.
Lakini wamedai habari nyingi za magaeti ya leo wameonyesha uhalisi mfumo kristo ulivyotawala kwenye vyumba vya wahariri,
Walitahadharisha waislam kuwa macho na vyombo hivi.
Wanasema hii kutokana na vyombo hivyo wahariri na wakuu wake ni wa dini fulani.
wamesema Vyombo vingi vya habari vimegeuza picha ya tukio la Zanzibar kwa manufaa ya dini yao
Kwa mfano wamekimbia kuwahoji wakuu wa UAMSHO huku wakuu hao wakiwa tayari kuzungumza nao.
Lakini wamedai habari nyingi za magaeti ya leo wameonyesha uhalisi mfumo kristo ulivyotawala kwenye vyumba vya wahariri,
Walitahadharisha waislam kuwa macho na vyombo hivi.