Imefika wakati wa Vyombo vya habari kuanzisha mijadala "debate" kati ya watu wanao unga mikono agenda za serikali na wale wanao pinga. Mfano swala la Tatizo la umeme ningependa kuona Wapinzani na Serikali wanajadili mbinu za kutatua tatizo kwenye nyombo vya habari hasa radio na TV mbalimbali. Mimi sijui nyie mnafikiria vipi lakini mimi ningependa kuona "debate" za uso kwa uso.