Hivi ni ajali au................... kuna vituo vya televisheni zaidi ya saba vinavyorusha taarifa za habari kati ya saa moja jioni na saa mbili usiku. Usihangaike kujaribu kuaangalia taarifa za habari katika kila kituo... ukiangalia moja tu unakuwa umeangalia taarifa za vituo vyote. Taarifa zinafanana, vyanzo vya habari vinafanana, picha na urefu wa habari
Kuna magazeti zaidi ya nane yanayotoka kila siku, huihitaji kununua yote, ukinunua moja tu ushasoma yote maana habari ni ilele, chanzo kilele, style ya uandishi ile ile, yaliyomo yale yale. Je ndo kusema waao mwalimu waandishi wa Bongo mwalimu wao mmoja.
Nawasilisha
Kuna magazeti zaidi ya nane yanayotoka kila siku, huihitaji kununua yote, ukinunua moja tu ushasoma yote maana habari ni ilele, chanzo kilele, style ya uandishi ile ile, yaliyomo yale yale. Je ndo kusema waao mwalimu waandishi wa Bongo mwalimu wao mmoja.
Nawasilisha