Inasikitisha vyombo vya nje kuvalia njuga mambo muhimu ya nchi km umeme nasi tuna vyombo vya habari kibao na vinavyojiita huru,nimefurahi BBC kufanya interview na baadh ya Watz(waajiri wakuu) kuhusu mgao huku wakitoa matamko yao kuwa wazir husika ajiuzulu,jambo ambalo hakuna chombo kilichojitoa muhanga kwalo esp. radios na tv stations(wich are much mo accesibo to majorit),je kwa kuitwa mkono wa 4 wa dola basi nao wanashindwa kuwa wazalendo?wakijidanganya kuwa nao ni rulin machine isiyotambulika rasmi?mana kama wangefanya na kuruhusu(kuact) ka forum ya watz hakika muhusika angejiuzulu kitambo kwa kuwa ayo ndo matakwa ya watz(waajiri wakuu)