Vyombo vya habari Tanzania na hatma yetu

Ndugu Susuviri,

Je, inawezekana kuwa pengine hata uchangiaji unakwamishwa na uelewa tulionao juu ya ufanyaji kazi wa media in a society? Je, Inawezekana pia ndiyo mapungufu ya jamii yanaoongelewa humu? Je, does the media alter society or the society alters media?

Code Zero hapa nakupa high five! Unajua tatizo ni role of media kutoeleweka kwa jamii. Mi nadhani media ni kama catalyst lakini hatua zinabidi zichukuliwe na wanajamii. Sasa unakuta waandishi wanaandika masuala mengi lakini wakati mwingine hatua haichukuliwi na wahusika. mi naamini hata watu wa upinzani wasingeweza kuwa na sauti kubwa katika jamii kama vyombo vya habari wasingewapa nafasi ya kusikika. I am not saying the mjournalists of Bongo are perfect lakini kufuatana na mazingira waandishi wanajitahidi. Hii kamati ya bunge ya akina Zitto unafikiri ingewezekana kama vyombo vya habari visingekuwa vinaripoti vituko na matukio mbalimbali kama wana CCM kuzomewa na Zitto kupokelewa kwa shangwe. Lakini kazi ya media primarily is to inform, then entertain. In western society hata information has to be through entertainment hence the coined word infotainment. Lakini Bongo bado ni wachanga sana, but changes will not happen overnight.
Ni vizuri kujua CV za waandishi wa habari wa kimataifa.Hivi waandishi wote hapa nchini wanajua kuwa uandishi wa habari ni taaluma pana yenye vipengere na vipera vingi?!.Soma CV ya huyu bwana wa CNN


Sanjay Gupta CV (source

http://www.cnn.com/CNN/anchors_repor...ta.sanjay.html)

Dr. Sanjay Gupta is chief medical correspondent for the health and medical unit at CNN. Gupta, a practicing neurosurgeon and an assistant professor of neurosurgery, plays an integral role in the network's medical coverage, which includes daily packages, the half-hour weekend show House Call with Dr. Sanjay Gupta and coverage of breaking medical news. Based in Atlanta, he also co-hosts Accent Health for Turner Private Networks, provides medical segments for the syndicated version of ER on TNT, contributes health news stories to CNN.com, writes a column for TIME magazine and recently launched a weekly podcast called "Paging Dr. Gupta."
Mkama, naomba nitofautishe experts na journalists. Akina Gupta ni exception rather than the rule. Yeye ni expert wa CNN kama walivyo some retired generals ambao ni 'terrorism' au 'security' experts kwenye CNN. Waandishi kama Christiane Amanpour na wenzake si professional katika field nyingine but in communications or journalism. Nadhani cha muhimu ni kwamba mwandishi wa habari lazima awe na uwezo wa kuelewa mambo kwa wepesi. You don't have to be an expert but you have to reserch na kufanya background interview kuelewa mada. Then the nitty gritty is not up to you to say, unawaachia wataalam.
Lakini nakubaliana na KanaKansungu, tatizo ni kwamba uandishi unaonekana ni fani ya watu waliofeli na kukosa nafasi zingine za kazi (a bit like ualimu, maybe a bit more glamorous). Lakini kama una wito, unaweza ku-pursue career in journalism hata ukiwa na division 1! Lakini itachukua some time mpaka watu waelewe hilo.
 
Je iwapo waandishi wetu wa habari wakiwatumia hawa wataalamu wetu ktk kuchambua habari nafikiri ingesaidia sana ktkkutoa habari sahihi kama vinanyofanya vyombo vingine vya nje.swali hawa wataalamu wetu huwa wanakubali kushirikiana na waandishi wetu ?
 
Je iwapo waandishi wetu wa habari wakiwatumia hawa wataalamu wetu ktk kuchambua habari nafikiri ingesaidia sana ktkkutoa habari sahihi kama vinanyofanya vyombo vingine vya nje.swali hawa wataalamu wetu huwa wanakubali kushirikiana na waandishi wetu ?

Nafikiri pia wengi wa waandishi wanarush kutoa habari, mara ngapi tumekua tukisoma habari amabazo zinahusisha pande zaidi ya moja lakini unakuta kilichoandikwa kimetoka upande mmoja tu, kwa nini hawachukui muda wao na kwenda kupata the other side of the story, excuse ya hii mara nyingi ni "simu yake ya mkononi ilikua haipatikani", why dont you wait then hadi itakapopatikana (au utakapompata) ndo uirushe hiyo habari?

Nakubaliana na wewe Katibu kuna umuhimu wa waandishi kuwaconsult wataalamu wa masuala ambayo wanayaandika ili kupata expert opinions zao, kama unaandika kuhusu ugonjwa kaongee na madaktari, kama unaandika kuhusu BOT and Finance kaongee na watu wa Coopers, etc. Waache uvivu ili tuwe tunasoma vitu quality na sio news zilizolipuliwalipuliwa tu for the sake it.

There has to be a notable difference between article iliyoandikwa na professional journalist na ile ninayoandika mimi.
 
Je iwapo waandishi wetu wa habari wakiwatumia hawa wataalamu wetu ktk kuchambua habari nafikiri ingesaidia sana ktkkutoa habari sahihi kama vinanyofanya vyombo vingine vya nje.swali hawa wataalamu wetu huwa wanakubali kushirikiana na waandishi wetu ?

Mi nadhani kwamba swali lako ni zuri sana na tunaweza kuliangalia kwa upande mbili:
- Waandishi kuwatafuta wataalam - inawezekana na wakati mwingine wanafanya hivyo. Tatizo ni kwamba wataalam wako busy kwa hiyo kabla hujaenda kumwona mtaalam inabidi ufanye research umwapproach ukija unataka nini kutoka mtaalam. Sasa waandishi wengi hawajiamini na wakienda kwa wataalam wanakuwa hawajajitayarisha vizuri. Na kumbuka kutokana na education background, waandishi wengi hawana confidence. Lakini nadhani mtaalam yoyote akipata maelezo mazuri na kuelewa mchango wake ni nini, basi kitu hiki kinawezekana.

- Wataalam kukubali kuchangia - hili nalo linawezekana, lakini wataalam wengi hawapendi public eyes. Na wale wanaopenda kuna wakati tunawachoka na wanakuwa na agenda zao. Lakini mimi nadhani watalaam wapo na wanaweza kuchangia. Ila sasa kuna suala la ku-compensate for their time. sasa kwa vile wamezoea visemina na wrkshop na perdiem, sometimes wataalam hawa wanaexaggerate fees zao.

But kama wamiliki wa vyombo vya habari wakiwa serious wanaweza kuwachukua baadhi ya wataalam ambao siyo full time wakaja kutoa comments that is for free, then kuna experts ambao ni full time au wanapewa asignment ku-analyze kitu fulani but this is in exchange for fees. Sasa kwa Bongo yetu wamiliki wanakuwa ni wabahili hawaelewi umuhimu wa suala hili.
 
Mi nadhani kwamba swali lako ni zuri sana na tunaweza kuliangalia kwa upande mbili:
- Waandishi kuwatafuta wataalam - inawezekana na wakati mwingine wanafanya hivyo. Tatizo ni kwamba wataalam wako busy kwa hiyo kabla hujaenda kumwona mtaalam inabidi ufanye research umwapproach ukija unataka nini kutoka mtaalam. Sasa waandishi wengi hawajiamini na wakienda kwa wataalam wanakuwa hawajajitayarisha vizuri. Na kumbuka kutokana na education background, waandishi wengi hawana confidence. Lakini nadhani mtaalam yoyote akipata maelezo mazuri na kuelewa mchango wake ni nini, basi kitu hiki kinawezekana.

- Wataalam kukubali kuchangia - hili nalo linawezekana, lakini wataalam wengi hawapendi public eyes. Na wale wanaopenda kuna wakati tunawachoka na wanakuwa na agenda zao. Lakini mimi nadhani watalaam wapo na wanaweza kuchangia. Ila sasa kuna suala la ku-compensate for their time. sasa kwa vile wamezoea visemina na wrkshop na perdiem, sometimes wataalam hawa wanaexaggerate fees zao.

But kama wamiliki wa vyombo vya habari wakiwa serious wanaweza kuwachukua baadhi ya wataalam ambao siyo full time wakaja kutoa comments that is for free, then kuna experts ambao ni full time au wanapewa asignment ku-analyze kitu fulani but this is in exchange for fees. Sasa kwa Bongo yetu wamiliki wanakuwa ni wabahili hawaelewi umuhimu wa suala hili.

Susuviri I agree with you kwamba kuna wataalam wasingependa majina yao yaweassociated na magazeti lakini wanaweza toa mchango wao anonymously. Na sio lazima hizi appointments na wataalam ziwe formal, mwandishi proper anakua kazini saa zote, unaandika makala flani kuhusu mambo ya afya ukikutana na Dr.Tege pale Brake Point kwenye mchemsho ukampiga tubia tuwili huku unamdodosa- im sure you will get what you need.

Research kwenye inernet na libraries pia zinasaidia lakini hili litawezekana tu kama waandishi wetu wataacha uvivu.
 
Susuviri I agree with you kwamba kuna wataalam wasingependa majina yao yaweassociated na magazeti lakini wanaweza toa mchango wao anonymously. Na sio lazima hizi appointments na wataalam ziwe formal, mwandishi proper anakua kazini saa zote, unaandika makala flani kuhusu mambo ya afya ukikutana na Dr.Tege pale Brake Point kwenye mchemsho ukampiga tubia tuwili huku unamdodosa- im sure you will get what you need.

Research kwenye inernet na libraries pia zinasaidia lakini hili litawezekana tu kama waandishi wetu wataacha uvivu.

Unachokisema ni sawa, lakini hiyo mi nachukulia kama background research kwa sababu unajua that is off the record. Sasa kasheshe inakuja unapohitaji mtu aende on the record. Kwa kweli BBC na CNN wananifurahisha wanapopata wataalam wanaochambua masuala kwa uhakika na kukosoa Blair government.

Same applies to Bush na mipango yake ya Iraq, unakuta retired general anaenda na kumwaga utirio! Now that's what I am talking about.

Kwa upande wa medical expert, ni kama legal expert, kuna kuogopana sana in Bongo!
Unakuta mtu anatetea wenzake hata wale waliochemka!
 
Asante Atanaye kwa kuanisha mambo kwa fomula. Uduni wa makala zinazotoka kwenye magazeti yetu unatokana na uvivu wa waandishi wetu. Kuna wakati naamini kwamba waandishi wa The Guardian na Editor wao aidha ni vipunga wa kutisha, au wanakwenda kazini na hangover kila siku. Wanatoa mfano mbaya sana wa uandishi kwa vijana wetu wa sekondari.

Swali alilouliza Mzalendohalisi kuhusu idadi ya watoto wanaozaliwa na wasomi linanigusa sana. Tunazaa wachache kutokana na kukosa uwezo. Hata hivyo, tunafanya makosa. Binafsi nahusika na haya makosa. Baada ya kukua zaidi kiumri na kiimani, naelewa sasa ni ubinafsi mkubwa kutozaa watoto wengi.

Mzalendohalisi anaonya ni kosa tunavyowaachia Wamachinga tu ndio wazae watoto wengi. Fidel Castro aliandika makal iitwayo "The Geography of Underdevelopment". Anasema kwamba wenye kipato kidogo hawana anasa zinzozotegemea fedha kama za sinema. Wamebaki na anasa moja tu, ya kuzaa. Wanaitumia vipasavyo.

Westerners are paying the wages of the sins of the anti-life movement of the sixties. People in the West hate children. Even landlords have been known to refuse housing to families with children. People are going to extremes to avoid giving birth. In the US, they murder 4 million babies in the womb each year. I know Tanzanian guys who have been so much turned against children that they underwent vasectomy.

Brothers and sisters, we are living in a culture of death. It is people among us, people like UMATI, who are leading the battle against life. We live with murderers of the most defenseless of all humans. These are the otherwise innocent looking people who have no qualms about killing babies in the womb.

No, Ms. Chuwa and company, we are not too many. In fact, there are not enough of us. And we are dying off too rapidly. Worry about our death rate and leave our birth rate alone.



In view of the excellent view above, I submit that UMATI is still useful, but needs to add to its policy, to encourage marriages among members of higher leaning institutions, who would then be encouraged (given incentives?) to have more children (i suggest 6 minimum), UMATI should maintain active branches in those institutions. I know Singapore leadership encourages marriages among college members, we wont be the first!
 
@Mzalendo,
Nilikuwa najikumbusha enzi hizo za shule ya msingi, mamboya kivimbe (volume), vipeo na vipeuo (exponents) nk. Kama una nafasi tafadhali pitia pale "Jukwaa La Elimu", ujikumbushe kidogo kuhusu mada fulani ya shule za msingi, kuna wachangiaji mahiri sana pale utakutana nao, Kama Gamba La nyoka nk.

@Mwana Wa Mariamu,
Nimeshangaa sana kuona takwimu za Wajaluo, sikufukiria kuwa kuna watu wamefanya utafiti kuhusu tohara na maambikizi ya ukimwi. Ni hivi majuzi tu nilipokuwa naangalia taarifa ya habari BBC, niliposhangaa kuwa, wanaume waliotahiriwa wana nafasi kubwa ya kutoambukizwa virusi visababishavyo ukimwi kuliko wale wasiotahiriwa.
Amazing!
Je Tanzania tuna programu yoyote ya uhamasishaji tohara kwa wanaume?
Sio tukazanie kupiga vita ukeketaji tu, tuwashauri na wanaume waende sunna, hasa ile mikoa ambayo haina utaratibu huo.

Kama ulivyosema tohara ni sunna maana yake ni hiari ya mtu. Programu ili iwe na mafanikio ni lazima itoe elimu na sio kulazimisha watu kuacha utamaduni wao.

Taarifa kuhusu wajaluo na maambukizi ya VVU inatoa picha nyingi. Mbili kati ya hizo ni kuwa waathirika wengi ni wavuvi wa kando ya ziwa victoria waliopo Kenya. Hawa mara nyingi wanasafiri kutoka kijiji fulani kwenda kingine. Na kila kijiji wanachotembelea wanakuwa na mahusiano ya kingono na wenyeji. Picha nyingine ni hile ya wakulima au wafugaji wadogo wadogo. Hawa kwa sababu wametulia katika sehemu moja kuna uwezekano mkubwa kuwa uambukiza wa VVU ni mdogo.

Hivyo programu ilenge watu kubadili tabia. Mtu aliyehamua kuishi bila kufanya ndoa (Mseja), hana sababu ya kuhofu maambukizi ya magonjwa ya zinaa hata kama ajafanya tohara. Na vilevile wanandoa au wenye mahusiano ya kimapenzi yenye uaminifu wa kweli hawana sababu ya kuogopa maambukizi ya magonjwa ya ngono na hawana sababu ya kufanya tohara.

Tatizo linakuja pale tunaposhindwa kuishi maisha ya kiseja au kuwa waaminifu katika mahusiano ya kimapenzi. Katika hali kama hili kinga za kondomu, tohara na namna nyingine ndipo zinapotumika.

Na kinga yoyote unayotumia haina usalama wa asilimia 100. Kwa mtaji huu basi programu ziwepo kwa kuonyesha risk factors ya aina ya ngono na kinga zake. Kwa mfano bila kinga ngono ya kinyume cha maumbile kati ya wanaume wawili au mwanaume kuruka ukuta mwanamke ina risk factor kubwa zaidi ya aina ya ngono zingine katika maambukizi ya VVU ata kama mwanaume mhusika amefanya tohara. Hivyo suala zima la maambukiz katika masuala ya ngono ni mchezo wa BAHATI NASIBU unaojumlisha aina ya ngono na kinga inayotumika.

Mwalimu Augustine Moshi ni mtaalamu wa mambo ya hisabati za BAHATI NASIBU. Tunaweza kumpa namba na akajenga model ya BAHATI NASIBU ya kuambukizwa na magonjwa. Model itaeleza unapofanya zinaa unacheza BAHATI NASIBU ya kuambukizwa na magonjwa ya zinaa na kinga unayotumia itakusaidia kwa asilimia gani. Je upo tayari kubahatisha?

Wataalamu wa mambo ya Afya au watunga sera wanaona ni mafanikio makubwa iwapo mtu mmoja (ukiondoa viongozi wa juu wa nchi -VIPs) kati ya milioni moja anapoathirika kwa magonjwa yasiotibika. Lakini wewe ukiwa ni mmoja wa watu milioni moja na ukaambiwa kuwa kati yenu mtu mmoja ataathirika na ugonjwa usiotibika basi kuna uwezekano mkubwa ukachukua hatua za wewe kutokuwa yule mteule.
 
Is it right to bring in this world children that one cannot adequately care for ?

Tunaposema tunahitaji watu kuendeleza nchi, kwa mikakati gani tuliyonayo? Ilisemwa maendeleo yanahita ardhi (apparently aggrerian development,Japan did it without this) Siasa Safi, watu na uongozi bora.Granting that this notion is correct, je tunavyo vingine vyote? Au ndiyo mambo ya mungu atajalia kila mtu atakuja na riziki yake?

Tukumbuke "failing to plan is planning to fail"
 
Is it right to bring in this world children that one cannot adequately care for ?

Tunaposema tunahitaji watu kuendeleza nchi, kwa mikakati gani tuliyonayo? Ilisemwa maendeleo yanahita ardhi (apparently aggrerian development,Japan did it without this) Siasa Safi, watu na uongozi bora.Granting that this notion is correct, je tunavyo vingine vyote? Au ndiyo mambo ya mungu atajalia kila mtu atakuja na riziki yake?

Tukumbuke "failing to plan is planning to fail"

Watoto wengi aisee- ndo msingi wa maendeleo! Haswa kwa jamaa zangu wasomi!

By not having many children haswa wasomi- we are actually planning to fail our nation in the future- wewe ni mtu wa demography? See nini kinatokea leo hii US, Japan na Ulaya ndugu yangu- wnatamani watoto wengi lakini wapi! Hata wanawapa watu pesa incentives wazae- je uko hapo?

Kama una watoto wachache ongeza- achana na nadharia za Ulaya.

Watoto wengi ni mhimu sana kwa Tz aisee! Population is not not a problem kwa Tz kwa sasa- haya mabo yanakuzwa tu na UMATI na US- ambao hawapendi watoto- manbo ya abortion kwao ni mali- yaani rigths- hata kuua watoto wazuri. Haya sii utamaduni wetu!
 
MzalendoHalisi,

The US can indeed afford to have many children per family because they are a developed nation. I do not always agree with the papacy, lakini alitoa rai kwa mataifa ya ulaya kuongeza idadi ya watoto per family or perish.Sasa hvi EU kuna crisis Western Europe nations mpaka wanategemea immigration, primarily kutoka Eastern Europe.Japan inakuwa faced na dilemma ya ku sacrifice traditions na kukubali wanawake en masse in the workplace or kukubali wageni kutoka nje.Nchi zote hizi zinahitaji watu zaidi kwa sababu zina viwanda na sekta za services za uchumi zilizoendelea, sekta hizi tayari zipo zinahitaji watu kufanya kazi.

Sasa na sie tuongeze watu halafu tuwatumieje? Waendeleze umachinga so that badala ya hawkers 10 kila mtu awe swarmed na hawkers 20?

We cannot say that increasing the population is "planning" without at the same time addressing what will the extra population do, otherwise tutazaa watoto watakaokufa kutokana na a high infant mortality rate, poverty and AIDS.

Again, is it right to bring children that we cannot care for?

I suppose you have a degree of plausibility unapostress "hasa kwa wasomi" kwa sababu in theory wasomi wanaweza kuwa na nafuu katika kuelimisha familia kubwa na kuchochea maendeleo. But also one has to be mindful that as a nation we have not attained that threshold to gain the leverage of economies of scale as far as this issue is concerned.Bado the macroscopic picture will remain bleek and unless these watoto wa wasomi watakuwa creative katika ku tengeneza employment, the few opportunities will be dearer due to population growth.
 
MzalendoHalisi,

The US can indeed afford to have many children per family because they are a developed nation. I do not always agree with the papacy, lakini alitoa rai kwa mataifa ya ulaya kuongeza idadi ya watoto per family or perish.Sasa hvi EU kuna crisis Western Europe nations mpaka wanategemea immigration, primarily kutoka Eastern Europe.Japan inakuwa faced na dilemma ya ku sacrifice traditions na kukubali wanawake en masse in the workplace or kukubali wageni kutoka nje.Nchi zote hizi zinahitaji watu zaidi kwa sababu zina viwanda na sekta za services za uchumi zilizoendelea, sekta hizi tayari zipo zinahitaji watu kufanya kazi.

Sasa na sie tuongeze watu halafu tuwatumieje? Waendeleze umachinga so that badala ya hawkers 10 kila mtu awe swarmed na hawkers 20?

We cannot say that increasing the population is "planning" without at the same time addressing what will the extra population do, otherwise tutazaa watoto watakaokufa kutokana na a high infant mortality rate, poverty and AIDS.

Again, is it right to bring children that we cannot care for?

I suppose you have a degree of plausibility unapostress "hasa kwa wasomi" kwa sababu in theory wasomi wanaweza kuwa na nafuu katika kuelimisha familia kubwa na kuchochea maendeleo. But also one has to be mindful that as a nation we have not attained that threshold to gain the leverage of economies of scale as far as this issue is concerned.Bado the macroscopic picture will remain bleek and unless these watoto wa wasomi watakuwa creative katika ku tengeneza employment, the few opportunities will be dearer due to population growth.

Pundit,
1. UMATI, UNFPA, US, Serikali Tz tangu 1980s wamekuwa wanahubiri family planning Tz- yet leo bado less than 30% ya watu Tz wanatumia hizi mbinu. Wewe umewahi kujiuliza ni kwa nini?

2. Vifo vya watoto vikiwa vingi- ndo watu huzaa watoto wengi zaidi- this is a basic theory in demography.

Hao wazungu achana nao- sisi Tz tuangalie ya kwetu. Nchi kubwa aisee watu bado tunawahitaji- wawe machinga, wasomi n.k. Tz eneo ni sawa na Nigeria yet Nigeria ina Watu 140m. Uganda wana 30m population yet- eneo hata robo ya Tz hawatufikii! Kenya pia wanatuzidi kwa Idadi ya watu in relation to their area. Sasa Tz tunahitaji watoto. Watoto- wakutosha eti- quantity na quality- kama quality hatuwezi kwa sasa- tuache (quantity) kuzaa kwa sasa? Watu hawataacha- je uzeeni nani ataniangalia?

We need more people- to be fair for future welfare of our nation. Hii habari ya kuzaa watoto wawili- ni ubinafsi- mimi siafiki. Tuwe na watu wengi- tukiweza kusomesha then we export!
 
Nashangaa sana hii mada imeishia njiani wakati kuna mambo mengi sana ya kujadiliwa. Je wamegaji wa mada mmeishiwa cha kusema kuhusu taaluma hii ya demography?
Tuendelee kuelimishana kuhusu haya masuala.
 
Experience is the mother of all educators. Uzoefu tulio nao ni kwamba penye watu wengi ndio penye maendeleo ya haraka. Si India, Nigeria na China tu, bali hata hapa kwetu hali ni hiyo hiyo. Dar, Mwanza na Arusha ndio penye watu wengi, na ndio penye maendeleo ya haraka. Maendeleo huletwa na watu, kwa ajili ya watu.

Kuna point muhimu imetolewa kwamba wanaozaa vizuri hapa kwetu ni Wamachinga. Nadhani ni kwa sababu sumu ya UMATI haijawafikia. Tujaribu sasa kukomboa wasomi wetu ambao wamekolewa nahii sumu ya UMATI ili nao wapende watoto.
 
Pundit,

Hawa UMATI wanafanya kazi kuwaridhisha wale waliowaweka pale kwamba wazuie uzazi wa watoto wengi. Hofu ya hawa wakubwa ni kutokuona Waafrika wanakuwa wengi hapa duniani! Ukiangalia Ulaya kwa sasa, takwimu zinaonyesha kwamba Italia inaongoza kwa kuwa na birth rate ndogo sana, chini ya asilimia moja, ikifuatiwa na Ujerumani. Kwamba programu kama za UMATI zilianzia huku, na mpaka sasa watu wa nchi hizi ni "wavivu" wa kuzaana, kwa hiyo hayo ndio madhara yake. Kwa sasa serikali zao zinapiga kelele na kuonya kwamba iwapo Wataliano na Wajerumani hawatazaliana kwa wingi kwa miaka 50 ijayo, basi wajiandae kuwa na kizazi cha wageni, ambao ndio watakuwa wamiliki na wazawa wa nchi zao.

Hali ni hiyo hiyo katika nchi za Skandinavia, ambapo kiwango cha uzazi ni chini ya 1.1 kwa watu elfu moja. Norway kwa mfano, ina eneo kubwa kuliko Uholanzi, Italia na Luxembourg zikichanganywa, lakini ina watu milioni 4.5! Nchi hizi kwa sasa zimejaa wageni kutoka Uhindini na Ulaya mashariki, (kidogo kutoka Afrika) na hawa wageni wanazaana kwa wingi kwa sababu serikali zinatoa ruzuku ya uzazi, kiasi kwamba wenyeji wa maeneo haya watafunikwa katika miaka 100 ijayo.

Sasa kama mnataka kusisitiza uzazi wa mpango kwa Tanzania, je mnataka na sisi tutokomee kama hawa? Sitashangaa sana iwapo hadi kufikia mwaka 2200 (naamini hakuna kati yetu atakuwepo), Ulaya itakuwa imejaa Wahindi na Waafrika, maana inaonyesha ndio wenye shauku na juhudi kubwa ya kutimiza ile kauli mbiu ya kuijaza dunia.

Kumbuka kwamba Afrika ndio mwathirika mkubwa wa biashara haramu ya utumwa, kwa hiyo biashara hii iliondoa nguvu kazi kubwa sana na ndio hasa moja ya vyanzo vikuu vya umasikini wetu. Kwa hiyo basi lazima turejeshe sehemu ya nguvu kazi hii kwa kuzaana kwa wingi.

Ni mtazamo tu!
 
IDIMI

Mchango wako ni ukweli tupu- sijui UMATI wanafanya nini??? Eti kuwashawishi Watz wazae watoto wachache?

Hii dhana sikukubaliani nayo- watoto wengi ni Tz muhimu sana!

You have made my day!
 
Watoto wengi kabla hujahakikisha elimu, chakula, kazi etc?

Watoto wengi waje kuingia kwenye child labor za kutia aibu kama wale kwenye utube wa Mrererani?

Boresha maisha kwa waliopo sasa then logically uchumi utahitaji kupanuka.Kama una population growth kubwa hiyo ni moja ya sababu inayofanya uchumi usikue , inabidi kukimbia ili kubaki pale pale.
 
Kwani umeambiwa wapi kuwa matatizo yetu yanatokana na kuwa na watoto wengi?? Je serikali imekuwa inahubiri watoto wachache kwa pesa ya Wazungu- na hadi hii leo wastani ni 5.6? Rwanda ni 7.0!

Mimi nashauri watoto wengi kwa wasomi- kwani tumekuwa wabinafsi sana- na kupenda life style kama ya wazungu -is this fair!

Tz ni nchi kubwa- ni pori tu na nchi ina rutuba- watu ni 38 m tu- bado tunahitaji watoto wengi!

Hizi nadharia na maisha ya watu wa magh. kuzaa mtoto mmoja- sii unaona sasa wanavyojuta? Hii ni tofauti na desturi zetu!

Angalau msomi minimum watoto 4 au 5- sasa unakuta msomi mzima na PhD yake eti ana mtoto mmoja!- je huu ni uungwana???
 
Watoto wengi kabla hujahakikisha elimu, chakula, kazi etc?

Watoto wengi waje kuingia kwenye child labor za kutia aibu kama wale kwenye utube wa Mrererani?

Boresha maisha kwa waliopo sasa then logically uchumi utahitaji kupanuka.Kama una population growth kubwa hiyo ni moja ya sababu inayofanya uchumi usikue , inabidi kukimbia ili kubaki pale pale.

Kinachotusumbua sisi sio wingi wa watoto ama watu. Umasikini wetu unatokana na uroho wa wale tuliowaamini kutulindia kile kidogo tulichonacho, wao wamechukua chote kwa manufaa yao binafsi.Shida kuu iko hapa!
Shule hazina vitabu na walimu kutokana na choyo! Zahanati hazina dawa kutokana na choyo! Barabara hazijengwi kutokana na choyo! Sio idadi ya watu!
Nitalipinga hili kwa nguvu zote.
Greedy has brought us where we are now!
 
OK,

Regardless of the reasons for our poverty.Make things right first before bringing more children.Au ndiyo mambo ya "kila mtoto na riziki yake", what you are advocating does not sound very far from that.Evenm for the intellectuals, there are things that they will depend on national economic figures and not household prosperity.

The intellectuals look at the collective economy of the country, not their personal purchasing power in determining whther to have a big family or not.In any case it is a very personal decision, how can you fault them for not having kids in an island of prosperity amidst poverty?

We look at 38 m and see that as a small number, we are actually at the brink of the threshold, the escape velocity if you like, of attaining exponential growth.

It is only due to Malthusian checks like AIDS that we do not see a bigger growth.With the supposedly increasing social services even this will be gone.
 
Back
Top Bottom