Kwa nini hakuna chombo cha Habari hata kimoja kilichi ripoti Baraza la Iddi lililo Fanyika Mwembe Yanga front page kama lilivyo ripotiwa baraza la Iddi lilo fanyika Mnazi Mmoja?
hata mimi naamin vyombo vya habari haviko huru maana wewe unalazimisha vyombo viripoti kisichoweza kuripotika, vipi yame magazeti yenu, radio na TV iman, navyo vilikusussa?!, ukiona hivyo hilo baraza lako la idi halikuwa na mashiko.
natabiri ndani ya miaka 15 ijayo kutakuwa na vuguvugu la vita ya wenyewe kwa wenyewe.....kama hali kama hii itaendelea.MUNGU IBARIKI TANZANIA,TUPE AMANI NA UVUMILIVU TUMALIZE HIKI KIPINDI KIBAYA KATIKA HISTORIA YA NCHI YETU
Mabaraza ya iddi yapo mengi kulingana na maaneo. Lakini yalio ripotiwa ni yale tu yanawalazimisha waislamu kuandikishwa sensa.