kubwalamaadui
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 328
- 51
habari za asubuhi wakuu.
naomben msaada pakuanzia maana nimepoteza vyeti vyangu,cha chuo na form six.nianzie wapi.
plz naomben msaada wenu wa mawazo maana naamini sana hili jukwaa
naomben msaada pakuanzia maana nimepoteza vyeti vyangu,cha chuo na form six.nianzie wapi.
plz naomben msaada wenu wa mawazo maana naamini sana hili jukwaa