Vyeti vilinifanya nikawa inferior

Lastname

JF-Expert Member
Feb 23, 2012
922
296
Nilidhani kuwa na vyeti ndio mwanzo mwisho, kumbe dunia ilinigeuza vibaya. Niliogopa hata kuitwa Dr (phd holder) katika some instances kwa sababu nili attract attentions za watu na kubadili matarajio yao toka kwangu, lakini sikuwa na uwezo wa kuonyesha naweza niliongea vitu ambavyo kila mtu anajua, sikuwa na jipya.

Naogopa ninapokuwa na vijana ambao ni bachelor holder ambao wapo proactive kuliko mimi, naogopa kungea english kwa sababu ni mbaya sana haivutii ukiisikiliza pia naogopa kuongea kiswahili kwa sababu watu wengi wapo competent kwenye kiswahili hivyo maswali yanakuwa mengi ya kiuhalisia siwezi jibu. Wishes of my friend akamalizia hivi ningejua ningekazana na jambo moja niweze ku-deliver kuliko kukimbilia vyeti.

Mshaurini wa JF.
 
Rafiki yangu kwa kifupi alijaza vyeti na titlle sasa anaviogopa kwa sababu hayuko competent kikazi
 
nina ndugu yangu amesona uingereza yuko hapa tz na vyeti kibao lakini hakuna kitu kabisa anaweza kudeliver. nimeona hata ofisini kwangu watu wana mivyeti inatisha lakini??/ balaa tupu??
 
nina ndugu yangu amesona uingereza yuko hapa tz na vyeti kibao lakini hakuna kitu kabisa anaweza kudeliver. nimeona hata ofisini kwangu watu wana mivyeti inatisha lakini??/ balaa tupu??

Wafanye nini sasa, mimi nilimwambia chagua ukipendacho kufa nacho mpaka uwe comppetent
 
Nilidhani kuwa na vyeti ndio mwanzo mwisho, kumbe dunia ilinigeuza vibaya. Niliogopa hata kuitwa Dr (phd holder) katika some instances kwa sababu nili attract attentions za watu na kubadili matarajio yao toka kwangu, lakini sikuwa na uwezo wa kuonyesha naweza niliongea vitu ambavyo kila mtu anajua, sikuwa na jipya. Naogopa ninapokuwa na vijana ambao ni bachelor holder ambao wapo proactive kuliko mimi, naogopa kungea english kwa sababu ni mbaya sana haivutii ukiisikiliza pia naogopa kuongea kiswahili kwa sababu watu wengi wapo competent kwenye kiswahili hivyo maswali yanakuwa mengi ya kiuhalisia siwezi jibu. ‘Wishes of my friend” akamalizia hivi ningejua ningekazana na jambo moja niweze ku-deliver kuliko kukimbilia vyeti.

Mshaurini wa jf.

Mwana Jf, kwanza pole sana kwa fikra hizi ambazo tulikaririshwa na waliotutangulia. ukweli ni kwamba watu tulio wengi huwa tunajua kuwa na vyeti vingi vilivyonakishiwa na maneno kama merit,excellent, first class ni basi. au tukiwa na prefix zinazotangulia majina au vyeo vyetu kama Dr. ms imetosha. Maisha hayako hivyo.kwenye jamii unayotakiwa kuishi kinachokutambulisha wewe ni uwajibikaji bora na uelewa mzuri wa mambo. kitu ambacho hakuna anayepewa phd au ms kwa kuwa navyo. hivi unatakiwa uwe navyo wewe mwenyewe kama mtu. elimu ya shule inakupa uwezo tu kupambanua mambo bali elimu ya uelew unaipata kwa bidii zako binafsi mathalan kwa kupenda kusikiliza wengine wanapoongea, kusoma vitabu, magazeti na hata kupenda kuandika.

mfano mzuri kuna mtu anaweza kusema kwanini niingie Jf lakini akawa amesahu kuwa hata kuweza kujiregister tu na mod akakujibu amefuta ujinga fulani akilini mwake, au pia akasahau kuwa kujadili hoja humu kunahitaji uwe na facts na uwe unayeweza kupangilia mawazo yako. Mara nyingine kupenda kukaa na watu wana jadili mambo tofauti tofauti yenye mantiki kunaongeza uelewa na unapochangia mada zao unajipa ujasiri nafsini mwako.

pia kuna kitu ambacho kimejengeka miongooni mwa wasomi wengi nacho ni kuwa na hofu na usomi wao, ukitaka kuamni kuwa usomi wako ni kitu kizuri basi utumie katika kujadili mada zilizoko ndani ya elimu yako, na siri moja nikupe siku zote tafuta reference ya vitu unavyovijua ambavyo utaweza kuvitetea. kamwe usilogwe kuongelea kitu ambacho huna reference yake nzuri, ukifanya hivyo itakupunguzia nafasi yako ya kuitetea point yako na mwisho ukajiona kama hujui mambo.

iwapo mada inayoongelewa siyo ndani ya uwanja wako wa kujidai basi hapo wewe penda kuuliza maswali zaid, na kusikiliza na hakikisha kuwa kila swali unaloliuliza linajenga kitu katika ufaham wako.kamwe usidharau hata kama anayeongea anaonekana kama vile siyo muelewa sana lakini ata kuongezea ufahamu kwenye fikra zako.

tabia ya kusoma nayo ni nzuri sana, soma as much as possible as you can. ukiona unaboreka sana tafuta mada kwenye jamvi zisome kwa makini kisha changia kwa kufuata lead(sijui kama unanielewa vizuri) ila kama hutanielewa sema nikueleweshe zaidi. sikiliza na angalia tv kwa ajili ya kujipa exposure. hapa utajifunza namna ya kuongea mbele za watu na jinsi unavyotakiwa kuongea. Watu wengi huwa hawajui kutofautisha namna ya kuongea na watu tofauti. Mathalani unavyoongea na marafiki, ni tofauti na classmate au na mtu anayetaka kujua jambo fulani na pia ni tofauti na unavyoongea na bosi wako au mteja au hata kiongozi wako. sasa yakupasa uue kundi unaloongea nalo kwa wakati huo ni lipi na unaongea nalo kitu gani. haya ukiyajua utajua uongee vipi kwa mahadhi gani.

kuhusu Lugha huo ni ugonjwa but one thing which i trust in shaping grammer is reading. read as much as possible as you can. read not only academic materials but also novels journals andmagazines anad news papers. while reading try to practice it do not hesitate and while doing it accept corrections. a single correction from a knowledgable person will prevent you from hundred mistakes. do not feel that you are humiliated when others are correcting you.

kama wewe ni mwaji wa kahawa au chai ya jioni basi nenda kapate katika mgahawa ambao utakutana na watu wanaojadili mada zitakazo kujenga kiakili. na uwapo hapo wewe uwe msikilizaji na muuliza maswali zaid kuliko kuwa masemaji.

Usiogope unapokosea hata kidogo kwani katika maisha mimi huwa ninaiambia nafsi yangu kwamba kila siku mimi huwa nina kosea sana au huwa nina tenda makosa mengi lakin pia kila siku huwa najifunza jambo jipya. na huwa kila ninachojifunza kinanikuza kiakili. changamoto ni lazima katika maisha usiziogope ila fungua akili yako na kuanza kutafuta maarifa ya uhalisia zaid kuliko yale ya kinadharia uliyoyapata ulipokuwepo shule.

usione kama ulikosea kusoma lahasha ila tu ulisoma kinadharia zaid kuliko kivitendo jambo ambalo hukuweza kuelewa mambo ya mtaani yakoje. Nafikiri ulipokuwa shule hukujua kuwa huku mtaani unaweza ukawa unakaa na watu ambao hata shule hawajaenda lakin wana heshima kuliko wewe na elimu yako.
 


Mwana Jf, kwanza pole sana kwa fikra hizi ambazo tulikaririshwa na waliotutangulia. ukweli ni kwamba watu tulio wengi huwa tunajua kuwa na vyeti vingi vilivyonakishiwa na maneno kama merit,excellent, first class ni basi. au tukiwa na prefix zinazotangulia majina au vyeo vyetu kama Dr. ms imetosha. Maisha hayako hivyo.kwenye jamii unayotakiwa kuishi kinachokutambulisha wewe ni uwajibikaji bora na uelewa mzuri wa mambo. kitu ambacho hakuna anayepewa phd au ms kwa kuwa navyo. hivi unatakiwa uwe navyo wewe mwenyewe kama mtu. elimu ya shule inakupa uwezo tu kupambanua mambo bali elimu ya uelew unaipata kwa bidii zako binafsi mathalan kwa kupenda kusikiliza wengine wanapoongea, kusoma vitabu, magazeti na hata kupenda kuandika.

mfano mzuri kuna mtu anaweza kusema kwanini niingie Jf lakini akawa amesahu kuwa hata kuweza kujiregister tu na mod akakujibu amefuta ujinga fulani akilini mwake, au pia akasahau kuwa kujadili hoja humu kunahitaji uwe na facts na uwe unayeweza kupangilia mawazo yako. Mara nyingine kupenda kukaa na watu wana jadili mambo tofauti tofauti yenye mantiki kunaongeza uelewa na unapochangia mada zao unajipa ujasiri nafsini mwako.

pia kuna kitu ambacho kimejengeka miongooni mwa wasomi wengi nacho ni kuwa na hofu na usomi wao, ukitaka kuamni kuwa usomi wako ni kitu kizuri basi utumie katika kujadili mada zilizoko ndani ya elimu yako, na siri moja nikupe siku zote tafuta reference ya vitu unavyovijua ambavyo utaweza kuvitetea. kamwe usilogwe kuongelea kitu ambacho huna reference yake nzuri, ukifanya hivyo itakupunguzia nafasi yako ya kuitetea point yako na mwisho ukajiona kama hujui mambo.

iwapo mada inayoongelewa siyo ndani ya uwanja wako wa kujidai basi hapo wewe penda kuuliza maswali zaid, na kusikiliza na hakikisha kuwa kila swali unaloliuliza linajenga kitu katika ufaham wako.kamwe usidharau hata kama anayeongea anaonekana kama vile siyo muelewa sana lakini ata kuongezea ufahamu kwenye fikra zako.

tabia ya kusoma nayo ni nzuri sana, soma as much as possible as you can. ukiona unaboreka sana tafuta mada kwenye jamvi zisome kwa makini kisha changia kwa kufuata lead(sijui kama unanielewa vizuri) ila kama hutanielewa sema nikueleweshe zaidi. sikiliza na angalia tv kwa ajili ya kujipa exposure. hapa utajifunza namna ya kuongea mbele za watu na jinsi unavyotakiwa kuongea. Watu wengi huwa hawajui kutofautisha namna ya kuongea na watu tofauti. Mathalani unavyoongea na marafiki, ni tofauti na classmate au na mtu anayetaka kujua jambo fulani na pia ni tofauti na unavyoongea na bosi wako au mteja au hata kiongozi wako. sasa yakupasa uue kundi unaloongea nalo kwa wakati huo ni lipi na unaongea nalo kitu gani. haya ukiyajua utajua uongee vipi kwa mahadhi gani.

kuhusu Lugha huo ni ugonjwa but one thing which i trust in shaping grammer is reading. read as much as possible as you can. read not only academic materials but also novels journals andmagazines anad news papers. while reading try to practice it do not hesitate and while doing it accept corrections. a single correction from a knowledgable person will prevent you from hundred mistakes. do not feel that you are humiliated when others are correcting you.

kama wewe ni mwaji wa kahawa au chai ya jioni basi nenda kapate katika mgahawa ambao utakutana na watu wanaojadili mada zitakazo kujenga kiakili. na uwapo hapo wewe uwe msikilizaji na muuliza maswali zaid kuliko kuwa masemaji.

Usiogope unapokosea hata kidogo kwani katika maisha mimi huwa ninaiambia nafsi yangu kwamba kila siku mimi huwa nina kosea sana au huwa nina tenda makosa mengi lakin pia kila siku huwa najifunza jambo jipya. na huwa kila ninachojifunza kinanikuza kiakili. changamoto ni lazima katika maisha usiziogope ila fungua akili yako na kuanza kutafuta maarifa ya uhalisia zaid kuliko yale ya kinadharia uliyoyapata ulipokuwepo shule.

usione kama ulikosea kusoma lahasha ila tu ulisoma kinadharia zaid kuliko kivitendo jambo ambalo hukuweza kuelewa mambo ya mtaani yakoje. Nafikiri ulipokuwa shule hukujua kuwa huku mtaani unaweza ukawa unakaa na watu ambao hata shule hawajaenda lakin wana heshima kuliko wewe na elimu yako.

Ushauri umeenda shule, thanks
 
De javu!! I 2 thnk i'm facing the problem to some extent! Being a holder of best academic achievement in nursery,primary education n receiving best student in 2 out of 3 subjects in my advanced education + best overall performance n more i fell i can't deliver what the society xpects from me!!
 


Mwana Jf, kwanza pole sana kwa fikra hizi ambazo tulikaririshwa na waliotutangulia. ukweli ni kwamba watu tulio wengi huwa tunajua kuwa na vyeti vingi vilivyonakishiwa na maneno kama merit,excellent, first class ni basi. au tukiwa na prefix zinazotangulia majina au vyeo vyetu kama Dr. ms imetosha. Maisha hayako hivyo.kwenye jamii unayotakiwa kuishi kinachokutambulisha wewe ni uwajibikaji bora na uelewa mzuri wa mambo. kitu ambacho hakuna anayepewa phd au ms kwa kuwa navyo. hivi unatakiwa uwe navyo wewe mwenyewe kama mtu. elimu ya shule inakupa uwezo tu kupambanua mambo bali elimu ya uelew unaipata kwa bidii zako binafsi mathalan kwa kupenda kusikiliza wengine wanapoongea, kusoma vitabu, magazeti na hata kupenda kuandika.

mfano mzuri kuna mtu anaweza kusema kwanini niingie Jf lakini akawa amesahu kuwa hata kuweza kujiregister tu na mod akakujibu amefuta ujinga fulani akilini mwake, au pia akasahau kuwa kujadili hoja humu kunahitaji uwe na facts na uwe unayeweza kupangilia mawazo yako. Mara nyingine kupenda kukaa na watu wana jadili mambo tofauti tofauti yenye mantiki kunaongeza uelewa na unapochangia mada zao unajipa ujasiri nafsini mwako.

pia kuna kitu ambacho kimejengeka miongooni mwa wasomi wengi nacho ni kuwa na hofu na usomi wao, ukitaka kuamni kuwa usomi wako ni kitu kizuri basi utumie katika kujadili mada zilizoko ndani ya elimu yako, na siri moja nikupe siku zote tafuta reference ya vitu unavyovijua ambavyo utaweza kuvitetea. kamwe usilogwe kuongelea kitu ambacho huna reference yake nzuri, ukifanya hivyo itakupunguzia nafasi yako ya kuitetea point yako na mwisho ukajiona kama hujui mambo.

iwapo mada inayoongelewa siyo ndani ya uwanja wako wa kujidai basi hapo wewe penda kuuliza maswali zaid, na kusikiliza na hakikisha kuwa kila swali unaloliuliza linajenga kitu katika ufaham wako.kamwe usidharau hata kama anayeongea anaonekana kama vile siyo muelewa sana lakini ata kuongezea ufahamu kwenye fikra zako.

tabia ya kusoma nayo ni nzuri sana, soma as much as possible as you can. ukiona unaboreka sana tafuta mada kwenye jamvi zisome kwa makini kisha changia kwa kufuata lead(sijui kama unanielewa vizuri) ila kama hutanielewa sema nikueleweshe zaidi. sikiliza na angalia tv kwa ajili ya kujipa exposure. hapa utajifunza namna ya kuongea mbele za watu na jinsi unavyotakiwa kuongea. Watu wengi huwa hawajui kutofautisha namna ya kuongea na watu tofauti. Mathalani unavyoongea na marafiki, ni tofauti na classmate au na mtu anayetaka kujua jambo fulani na pia ni tofauti na unavyoongea na bosi wako au mteja au hata kiongozi wako. sasa yakupasa uue kundi unaloongea nalo kwa wakati huo ni lipi na unaongea nalo kitu gani. haya ukiyajua utajua uongee vipi kwa mahadhi gani.

kuhusu Lugha huo ni ugonjwa but one thing which i trust in shaping grammer is reading. read as much as possible as you can. read not only academic materials but also novels journals andmagazines anad news papers. while reading try to practice it do not hesitate and while doing it accept corrections. a single correction from a knowledgable person will prevent you from hundred mistakes. do not feel that you are humiliated when others are correcting you.

kama wewe ni mwaji wa kahawa au chai ya jioni basi nenda kapate katika mgahawa ambao utakutana na watu wanaojadili mada zitakazo kujenga kiakili. na uwapo hapo wewe uwe msikilizaji na muuliza maswali zaid kuliko kuwa masemaji.

Usiogope unapokosea hata kidogo kwani katika maisha mimi huwa ninaiambia nafsi yangu kwamba kila siku mimi huwa nina kosea sana au huwa nina tenda makosa mengi lakin pia kila siku huwa najifunza jambo jipya. na huwa kila ninachojifunza kinanikuza kiakili. changamoto ni lazima katika maisha usiziogope ila fungua akili yako na kuanza kutafuta maarifa ya uhalisia zaid kuliko yale ya kinadharia uliyoyapata ulipokuwepo shule.

usione kama ulikosea kusoma lahasha ila tu ulisoma kinadharia zaid kuliko kivitendo jambo ambalo hukuweza kuelewa mambo ya mtaani yakoje. Nafikiri ulipokuwa shule hukujua kuwa huku mtaani unaweza ukawa unakaa na watu ambao hata shule hawajaenda lakin wana heshima kuliko wewe na elimu yako.

Ahsante mdada....somo limetugusa wengi,Mungu akubariki!!
 


Mwana Jf, kwanza pole sana kwa fikra hizi ambazo tulikaririshwa na waliotutangulia. ukweli ni kwamba watu tulio wengi huwa tunajua kuwa na vyeti vingi vilivyonakishiwa na maneno kama merit,excellent, first class ni basi. au tukiwa na prefix zinazotangulia majina au vyeo vyetu kama Dr. ms imetosha. Maisha hayako hivyo.kwenye jamii unayotakiwa kuishi kinachokutambulisha wewe ni uwajibikaji bora na uelewa mzuri wa mambo. kitu ambacho hakuna anayepewa phd au ms kwa kuwa navyo. hivi unatakiwa uwe navyo wewe mwenyewe kama mtu. elimu ya shule inakupa uwezo tu kupambanua mambo bali elimu ya uelew unaipata kwa bidii zako binafsi mathalan kwa kupenda kusikiliza wengine wanapoongea, kusoma vitabu, magazeti na hata kupenda kuandika.

mfano mzuri kuna mtu anaweza kusema kwanini niingie Jf lakini akawa amesahu kuwa hata kuweza kujiregister tu na mod akakujibu amefuta ujinga fulani akilini mwake, au pia akasahau kuwa kujadili hoja humu kunahitaji uwe na facts na uwe unayeweza kupangilia mawazo yako. Mara nyingine kupenda kukaa na watu wana jadili mambo tofauti tofauti yenye mantiki kunaongeza uelewa na unapochangia mada zao unajipa ujasiri nafsini mwako.

pia kuna kitu ambacho kimejengeka miongooni mwa wasomi wengi nacho ni kuwa na hofu na usomi wao, ukitaka kuamni kuwa usomi wako ni kitu kizuri basi utumie katika kujadili mada zilizoko ndani ya elimu yako, na siri moja nikupe siku zote tafuta reference ya vitu unavyovijua ambavyo utaweza kuvitetea. kamwe usilogwe kuongelea kitu ambacho huna reference yake nzuri, ukifanya hivyo itakupunguzia nafasi yako ya kuitetea point yako na mwisho ukajiona kama hujui mambo.

iwapo mada inayoongelewa siyo ndani ya uwanja wako wa kujidai basi hapo wewe penda kuuliza maswali zaid, na kusikiliza na hakikisha kuwa kila swali unaloliuliza linajenga kitu katika ufaham wako.kamwe usidharau hata kama anayeongea anaonekana kama vile siyo muelewa sana lakini ata kuongezea ufahamu kwenye fikra zako.

tabia ya kusoma nayo ni nzuri sana, soma as much as possible as you can. ukiona unaboreka sana tafuta mada kwenye jamvi zisome kwa makini kisha changia kwa kufuata lead(sijui kama unanielewa vizuri) ila kama hutanielewa sema nikueleweshe zaidi. sikiliza na angalia tv kwa ajili ya kujipa exposure. hapa utajifunza namna ya kuongea mbele za watu na jinsi unavyotakiwa kuongea. Watu wengi huwa hawajui kutofautisha namna ya kuongea na watu tofauti. Mathalani unavyoongea na marafiki, ni tofauti na classmate au na mtu anayetaka kujua jambo fulani na pia ni tofauti na unavyoongea na bosi wako au mteja au hata kiongozi wako. sasa yakupasa uue kundi unaloongea nalo kwa wakati huo ni lipi na unaongea nalo kitu gani. haya ukiyajua utajua uongee vipi kwa mahadhi gani.

kuhusu Lugha huo ni ugonjwa but one thing which i trust in shaping grammer is reading. read as much as possible as you can. read not only academic materials but also novels journals andmagazines anad news papers. while reading try to practice it do not hesitate and while doing it accept corrections. a single correction from a knowledgable person will prevent you from hundred mistakes. do not feel that you are humiliated when others are correcting you.

kama wewe ni mwaji wa kahawa au chai ya jioni basi nenda kapate katika mgahawa ambao utakutana na watu wanaojadili mada zitakazo kujenga kiakili. na uwapo hapo wewe uwe msikilizaji na muuliza maswali zaid kuliko kuwa masemaji.

Usiogope unapokosea hata kidogo kwani katika maisha mimi huwa ninaiambia nafsi yangu kwamba kila siku mimi huwa nina kosea sana au huwa nina tenda makosa mengi lakin pia kila siku huwa najifunza jambo jipya. na huwa kila ninachojifunza kinanikuza kiakili. changamoto ni lazima katika maisha usiziogope ila fungua akili yako na kuanza kutafuta maarifa ya uhalisia zaid kuliko yale ya kinadharia uliyoyapata ulipokuwepo shule.

usione kama ulikosea kusoma lahasha ila tu ulisoma kinadharia zaid kuliko kivitendo jambo ambalo hukuweza kuelewa mambo ya mtaani yakoje. Nafikiri ulipokuwa shule hukujua kuwa huku mtaani unaweza ukawa unakaa na watu ambao hata shule hawajaenda lakin wana heshima kuliko wewe na elimu yako.

mhh, kaka sijui dada? umeongea sana bwana, na nikweli tupu
 
Namshukuru Mungu amenipa muda wa kujinoa kabla ya kuingia kwenye mapambano.Hii hali nilianza kuiona Kibaha ,wakati huo kama PCB DENT.

I hope during summer will be able to share something with u friends.
 


Mwana Jf, kwanza pole sana kwa fikra hizi ambazo tulikaririshwa na waliotutangulia. ukweli ni kwamba watu tulio wengi huwa tunajua kuwa na vyeti vingi vilivyonakishiwa na maneno kama merit,excellent, first class ni basi. au tukiwa na prefix zinazotangulia majina au vyeo vyetu kama Dr. ms imetosha. Maisha hayako hivyo.kwenye jamii unayotakiwa kuishi kinachokutambulisha wewe ni uwajibikaji bora na uelewa mzuri wa mambo. kitu ambacho hakuna anayepewa phd au ms kwa kuwa navyo. hivi unatakiwa uwe navyo wewe mwenyewe kama mtu. elimu ya shule inakupa uwezo tu kupambanua mambo bali elimu ya uelew unaipata kwa bidii zako binafsi mathalan kwa kupenda kusikiliza wengine wanapoongea, kusoma vitabu, magazeti na hata kupenda kuandika.

mfano mzuri kuna mtu anaweza kusema kwanini niingie Jf lakini akawa amesahu kuwa hata kuweza kujiregister tu na mod akakujibu amefuta ujinga fulani akilini mwake, au pia akasahau kuwa kujadili hoja humu kunahitaji uwe na facts na uwe unayeweza kupangilia mawazo yako. Mara nyingine kupenda kukaa na watu wana jadili mambo tofauti tofauti yenye mantiki kunaongeza uelewa na unapochangia mada zao unajipa ujasiri nafsini mwako.

pia kuna kitu ambacho kimejengeka miongooni mwa wasomi wengi nacho ni kuwa na hofu na usomi wao, ukitaka kuamni kuwa usomi wako ni kitu kizuri basi utumie katika kujadili mada zilizoko ndani ya elimu yako, na siri moja nikupe siku zote tafuta reference ya vitu unavyovijua ambavyo utaweza kuvitetea. kamwe usilogwe kuongelea kitu ambacho huna reference yake nzuri, ukifanya hivyo itakupunguzia nafasi yako ya kuitetea point yako na mwisho ukajiona kama hujui mambo.

iwapo mada inayoongelewa siyo ndani ya uwanja wako wa kujidai basi hapo wewe penda kuuliza maswali zaid, na kusikiliza na hakikisha kuwa kila swali unaloliuliza linajenga kitu katika ufaham wako.kamwe usidharau hata kama anayeongea anaonekana kama vile siyo muelewa sana lakini ata kuongezea ufahamu kwenye fikra zako.

tabia ya kusoma nayo ni nzuri sana, soma as much as possible as you can. ukiona unaboreka sana tafuta mada kwenye jamvi zisome kwa makini kisha changia kwa kufuata lead(sijui kama unanielewa vizuri) ila kama hutanielewa sema nikueleweshe zaidi. sikiliza na angalia tv kwa ajili ya kujipa exposure. hapa utajifunza namna ya kuongea mbele za watu na jinsi unavyotakiwa kuongea. Watu wengi huwa hawajui kutofautisha namna ya kuongea na watu tofauti. Mathalani unavyoongea na marafiki, ni tofauti na classmate au na mtu anayetaka kujua jambo fulani na pia ni tofauti na unavyoongea na bosi wako au mteja au hata kiongozi wako. sasa yakupasa uue kundi unaloongea nalo kwa wakati huo ni lipi na unaongea nalo kitu gani. haya ukiyajua utajua uongee vipi kwa mahadhi gani.

kuhusu Lugha huo ni ugonjwa but one thing which i trust in shaping grammer is reading. read as much as possible as you can. read not only academic materials but also novels journals andmagazines anad news papers. while reading try to practice it do not hesitate and while doing it accept corrections. a single correction from a knowledgable person will prevent you from hundred mistakes. do not feel that you are humiliated when others are correcting you.

kama wewe ni mwaji wa kahawa au chai ya jioni basi nenda kapate katika mgahawa ambao utakutana na watu wanaojadili mada zitakazo kujenga kiakili. na uwapo hapo wewe uwe msikilizaji na muuliza maswali zaid kuliko kuwa masemaji.

Usiogope unapokosea hata kidogo kwani katika maisha mimi huwa ninaiambia nafsi yangu kwamba kila siku mimi huwa nina kosea sana au huwa nina tenda makosa mengi lakin pia kila siku huwa najifunza jambo jipya. na huwa kila ninachojifunza kinanikuza kiakili. changamoto ni lazima katika maisha usiziogope ila fungua akili yako na kuanza kutafuta maarifa ya uhalisia zaid kuliko yale ya kinadharia uliyoyapata ulipokuwepo shule.

usione kama ulikosea kusoma lahasha ila tu ulisoma kinadharia zaid kuliko kivitendo jambo ambalo hukuweza kuelewa mambo ya mtaani yakoje. Nafikiri ulipokuwa shule hukujua kuwa huku mtaani unaweza ukawa unakaa na watu ambao hata shule hawajaenda lakin wana heshima kuliko wewe na elimu yako.



Umemaliza kila kitu!
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom