VYEO vya WAHADHIRI vyuoni

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Nov 25, 2010
6,135
17,802
1. Tutorial Assistant (TA)-Huyu niyule Mhadhiri wa chini kabisa ambaye yeye ana Shahada ya Awali tu kwenye fani yake.

2. Assistant Lecturer ( AL)-Huyu ana Shahada ya Uzamili(Masters) katika fani ake husika

3. Lecturer (L)-Huyu ana Shahada ya Uzamivu(PhD) Lakini,bado si mkongwe kwenye Shahada yake hiyo au bado hajaandika na kutafiti vya kutosha

4. Senior Lecturer (SL)- Huyu ana Shahada ya Uzamivu na ni wa muda mrefu kuliko L.Yeye angalau ameandika na kutafiti kwa kiasi fulani.

5. Associate Professor (AP)- Huyu ni mbobezi katika kufundisha kuliko SL. Yeye ameshafanya uandishi na utafiti wa kutosha katika fani yake kuliko SL.Naye ana Shahada ya Uzamivu.

6. Professor (P)-Huyu ni mbobezi katika kufundisha,kutafiti na kuandika katika fani yake kuliko AP. Ni cheo cha juu kabisa katika ngazi za Wahadhiri Vyuo vikuu.

NB: 1.Vyeo hivi hupandishwa na Mabaraza ya Vyuo kulingana na sifa walizojiwekea hasa za utafiti na uandishi wa vitabu,sura za vitabu nk.
2. Kitivo cha Sheria cha Chuo Kikuu cha Dar es Salaam,tangu kuanzishwa kwake 1961,kimebarikiwa kuwa na Maprofesa kamili (P) wanne ambao ni Prof. Issa Ghulamhussein Shivji, Prof. Gamaliel Mgongo-Fimbo,Prof. Chris Peter Maina na Prof. Josephat L. Kanywanyi. Prof. Shivji hafundishi tena.Waliobaki bado wapo wakifundisha kwa mikataba.

Asanteni kwa kunisikiliza...
 
Kitivo cha sheria wanabaniana ili wawe wachache waabudiwe ila wenye uwezo wa kuwa maprofesa ni wengi ila wanabaniwa. Halaf udsm hata ktk kozi nyingine wanabana sn tena kuanzia shada ya uzamili, ila ukienda st agust, tumaini, st john, arusha univ na vingine vingi unapata masta kiulaini
 
Kitivo cha sheria wanabaniana ili wawe wachache waabudiwe ila wenye uwezo wa kuwa maprofesa ni wengi ila wanabaniwa. Halaf udsm hata ktk kozi nyingine wanabana sn tena kuanzia shada ya uzamili, ila ukienda st agust, tumaini, st john, arusha univ na vingine vingi unapata masta kiulaini
Ubora wa elimu je?
 
Ubora wa elimu je?,HUYU JAMAA ANAMAMBO YA KITOTO KWELII MASTERS YA LAW TUMAINI INAWEZA KUWA BORAA KULIKO MASTERS YA UDSM,HUYU JAMAA ANA MAMBO YA AJABU SANAA ALIWAHI KULETA UZI WA KIJINGA ETI UDSM LAW WAMECHUKUA MPAKA (II.10),ETI WATALIWA VICHWA IKIMAANISHA WATAPATA GPA MBOVU AU KUDISKO ACHA UTOTO
 
Kusoma kwing kiza kiingi, hv niny amchok kukaa mnakariri v2 walivo andika wanaume wenzenu? Hangalia wa2 wenye majina hawakuririr saana v2 vya wanaume wenzao. Nawasilisha
 
Kusoma kwing kiza kiingi, hv niny amchok kukaa mnakariri v2 walivo andika wanaume wenzenu? Hangalia wa2 wenye majina hawakuririr saana v2 vya wanaume wenzao. Nawasilisha
Kma vipi Mkuu.Funguka...
 
1. Tutorial Assistant (TA)-Huyu niyule Mhadhiri wa chini kabisa ambaye yeye ana Shahada ya Awali tu kwenye fani yake.

2. Assistant Lecturer ( AL)-Huyu ana Shahada ya Uzamili(Masters) katika fani ake husika

3. Lecturer (L)-Huyu ana Shahada ya Uzamivu(PhD) Lakini,bado si mkongwe kwenye Shahada yake hiyo au bado hajaandika na kutafiti vya kutosha

4. Senior Lecturer (SL)- Huyu ana Shahada ya Uzamivu na ni wa muda mrefu kuliko L.Yeye angalau ameandika na kutafiti kwa kiasi fulani.

5. Associate Professor (AP)- Huyu ni mbobezi katika kufundisha kuliko SL. Yeye ameshafanya uandishi na utafiti wa kutosha katika fani yake kuliko SL.Naye ana Shahada ya Uzamivu.

6. Professor (P)-Huyu ni mbobezi katika kufundisha,kutafiti na kuandika katika fani yake kuliko AP. Ni cheo cha juu kabisa katika ngazi za Wahadhiri Vyuo vikuu.

NB: 1.Vyeo hivi hupandishwa na Mabaraza ya Vyuo kulingana na sifa walizojiwekea hasa za utafiti na uandishi wa vitabu,sura za vitabu nk.
2. Kitivo cha Sheria cha Chuo Kikuu cha Dar es Salaam,tangu kuanzishwa kwake 1961,kimebarikiwa kuwa na Maprofesa kamili (P) wanne ambao ni Prof. Issa Ghulamhussein Shivji, Prof. Gamaliel Mgongo-Fimbo,Prof. Chris Peter Maina na Prof. Josephat L. Kanywanyi. Prof. Shivji hafundishi tena.Waliobaki bado wapo wakifundisha kwa mikataba.

Asanteni kwa kunisikiliza...
Bongo kila kitu siasa! Ila sema sasa TCU wana meno, wanakuja na njia mbadala ambayo haitategemea siasa za vyuo tena.
 
Kusoma kwing kiza kiingi, hv niny amchok kukaa mnakariri v2 walivo andika wanaume wenzenu? Hangalia wa2 wenye majina hawakuririr saana v2 vya wanaume wenzao. Nawasilisha

Ni kweli mkuu,hata uandishi wako unaonesha hutaki kuumiza kichwa.
 
pale idara ya kemia kuna prof mmoja ambae nae ashastaafu ila anafundisha, na ass.prof wawili tu!!!!
 
1. Tutorial Assistant (TA)-Huyu niyule Mhadhiri wa chini kabisa ambaye yeye ana Shahada ya Awali tu kwenye fani yake.

2. Assistant Lecturer ( AL)-Huyu ana Shahada ya Uzamili(Masters) katika fani ake husika

3. Lecturer (L)-Huyu ana Shahada ya Uzamivu(PhD) Lakini,bado si mkongwe kwenye Shahada yake hiyo au bado hajaandika na kutafiti vya kutosha

4. Senior Lecturer (SL)- Huyu ana Shahada ya Uzamivu na ni wa muda mrefu kuliko L.Yeye angalau ameandika na kutafiti kwa kiasi fulani.

5. Associate Professor (AP)- Huyu ni mbobezi katika kufundisha kuliko SL. Yeye ameshafanya uandishi na utafiti wa kutosha katika fani yake kuliko SL.Naye ana Shahada ya Uzamivu.

6. Professor (P)-Huyu ni mbobezi katika kufundisha,kutafiti na kuandika katika fani yake kuliko AP. Ni cheo cha juu kabisa katika ngazi za Wahadhiri Vyuo vikuu.

NB: 1.Vyeo hivi hupandishwa na Mabaraza ya Vyuo kulingana na sifa walizojiwekea hasa za utafiti na uandishi wa vitabu,sura za vitabu nk.
2. Kitivo cha Sheria cha Chuo Kikuu cha Dar es Salaam,tangu kuanzishwa kwake 1961,kimebarikiwa kuwa na Maprofesa kamili (P) wanne ambao ni Prof. Issa Ghulamhussein Shivji, Prof. Gamaliel Mgongo-Fimbo,Prof. Chris Peter Maina na Prof. Josephat L. Kanywanyi. Prof. Shivji hafundishi tena.Waliobaki bado wapo wakifundisha kwa mikataba.

Asanteni kwa kunisikiliza...

Asante sana, lakini naomba kuuliza na madokta vyuoni elimu yao ipoje?
 
Back
Top Bottom