VYANZO VYA MAPATO VYA WAHASiBU NA DEANS WA VYUO

mirindimo

JF-Expert Member
Nov 2, 2009
821
1,338
Leo bungeni sikushangaa walipokua wanachangia taarifa za kamati kua kuna vyuo vimelipa mishahara waalimu hewa mabilioni ya pesa,serikali inapaswa kujua hicho ni chanzo cha mapato kwa baadhi ya watumishi wa vyuo hivyo na mchezo huo ni kawaida...! Kwani nani asiejua kua hostel za UDSM nazo ni chanzo cha mapato na Dean hupata kiasi cha 50000 mpaka 200000 hili liko wazi na watumishi wote wanajua ! Acheni kujifanya mnajadili na kila mwaka vinatokea hamchukui hatui yoyote ! Mjipange tuwabadilishe mnafikiri wananchi hatuoni ? Tumechoka sisi alaaaaaa
 
Leo bungeni sikushangaa walipokua wanachangia taarifa za kamati kua kuna vyuo vimelipa mishahara waalimu hewa mabilioni ya pesa,serikali inapaswa kujua hicho ni chanzo cha mapato kwa baadhi ya watumishi wa vyuo hivyo na mchezo huo ni kawaida...! Kwani nani asiejua kua hostel za UDSM nazo ni chanzo cha mapato na Dean hupata kiasi cha 50000 mpaka 200000 hili liko wazi na watumishi wote wanajua ! Acheni kujifanya mnajadili na kila mwaka vinatokea hamchukui hatui yoyote ! Mjipange tuwabadilishe mnafikiri wananchi hatuoni ? Tumechoka sisi alaaaaaa

UDOM wanaongoza kw kuchakachua! Tena mpaka hela za wanafunzi ndo ucseme
 
Back
Top Bottom