Nasikia dawa inayowekwa kwenye vyandarua ni DDT. Je hii dawa haiwezi kutumika kuua mbu wote wanaoeneza Malaria? Kuna agenda yoyote ya siri ya kushindwa kutokomeza Malaria? Tafadhali tujadili hili!
Nasikia dawa inayowekwa kwenye vyandarua ni DDT. Je hii dawa haiwezi kutumika kuua mbu wote wanaoeneza Malaria? Kuna agenda yoyote ya siri ya kushindwa kutokomeza Malaria? Tafadhali tujadili hili!