mtoto mzee
Member
- Nov 10, 2011
- 38
- 4
Hivi vyandarua vya msaada vinavyopunguza nguvu za kiume, nimegundua ni mbinu ya kupunguza ama kuondoa marijali Tanzania na Africa, ili lengo la Cameroun la kuwahalalisha wanaume waolewe litimie. ......Tafakari..........Chukua hatua.