Jackbauer
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 6,038
- 2,199
Kuna tetesi kuwa vyandarua vya bure vinavyotolewa kwa akina mama kule kliniki huwa havitoshi kwenye vitanda,familia nyingi za kibongo huwa wanalala na mtoto hivyo chandarua hakiwatoshi.
Je wahusika wanalitambua hili?
WanaJF wenye uelewa wa mambo ya kinga za malaria mnasemaje?
NAWASILISHA...
Je wahusika wanalitambua hili?
WanaJF wenye uelewa wa mambo ya kinga za malaria mnasemaje?
NAWASILISHA...