Ngigana
JF-Expert Member
- Apr 16, 2010
- 2,102
- 1,436
naombeni kujuzwa ni vitu gani vinavyo sababisha magoti kukosa utelezi na kutoa sauti pindi nichuchumaapo au nikiikunja miguuyangu?
Na vilevile nahitaji kujuzwa ni vyakula aina gani nikila vitanisaidia kurudi katika hali yangu ya kawaida?
Pole mkuu, tafuta product moja ya GNLD inaitwa FULL MOTION, ni bei kubwa kidogo lakini ni kiboko ya njia hizo kelele kwenye magoti zitakwisha inarudisha ute haraka sana.