klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,648
- 5,139
Mswaki ninao labda unikaribishe kichupa cha kolgetgud morning lawyer. Umeamka salama? Karibu tupige mswaki.
Mswaki ninao labda unikaribishe kichupa cha kolgetgud morning lawyer. Umeamka salama? Karibu tupige mswaki.
Mswaki ninao labda unikaribishe kichupa cha kolget
Unachafua CV dada! naomba nikuandikie kwa foren lenguej. Mimi nina tuthbrush sio mswaki wa mti. Hayo mambo ya miti miti nazani umenikonfyuzi na mzizimkavumswaki wa mti colgate ya nini?
Unachafua CV dada! naomba nikuandikie kwa foren lenguej. Mimi nina tuthbrush sio mswaki wa mti. Hayo mambo ya miti miti nazani umenikonfyuzi na mzizimkavu
hahahahaha, ngoja aje!Unachafua CV dada! naomba nikuandikie kwa foren lenguej. Mimi nina tuthbrush sio mswaki wa mti. Hayo mambo ya miti miti nazani umenikonfyuzi na mzizimkavu
Halaf mapenzi ya uchumba bana, yaani nampigia ile namba moja namwambia I love u halaf anakata, nampigia ile nyengine namwambia I cant live wizaut u, si umeona wife to be ameweka namba mbili pale .hahahaha! Kisa umepata mchumba love connect unajifanya we iphone eeh?
Uzuri wa yule jamaa anatembelea majukwaa mawili tu JF nzima, JF dokta na Jamii Photos , sasa huku kwengine hata ukimlembea madongo haoni. We jaribu usibitishehahahahaha, ngoja aje!
Halaf mapenzi ya uchumba bana, yaani nampigia ile namba moja namwambia I love u halaf anakata, nampigia ile nyengine namwambia I cant live wizaut u, si umeona wife to be ameweka namba mbili pale .
Dah! hii ni financial threat na sheria za JF haziruhusu, mbona mimi kamchumba kameniambia kanafanya kazi marketing ya simu ndo maana,hehehe! Namba mbili maana yake network ya tigo pesa ikisumbua utumie m pesa. Lol.
Dah! hii ni financial threat na sheria za JF haziruhusu, mbona mimi kamchumba kameniambia kanafanya kazi marketing ya simu ndo maana,
Nikupitie unisindikize sehemu?mjini shule, manzese darasa.
Nikupitie unisindikize sehemu?
Please, naomba, niko chini ya miguu ya chupa ya bia yakoaah! Staki.
mswaki wa mti colgate ya nini?
Huo sio utumbo huo ni ukweli, wewe kula kit kat afu ukizidiwa na nyege nipo hapa sasa kosa gani.narudia tena, jiheshimu.. We ulivyoniquote umeniambia utumbo gani? Sipendi.