Mshume Kiyate
JF-Expert Member
- Feb 27, 2011
- 6,766
- 894
Wana Jf,
Mimi binafsi nakula mara mbili kwa siku asubuhi nakunywa uji wa Ulezi na Viazi au Mihogo, usiku napenda sana Ugali wa Muhogo na Samaki Kolekole, na chakula nachokimiss ni supu za Sangara..endeleza na wewe mkuu
Mimi binafsi nakula mara mbili kwa siku asubuhi nakunywa uji wa Ulezi na Viazi au Mihogo, usiku napenda sana Ugali wa Muhogo na Samaki Kolekole, na chakula nachokimiss ni supu za Sangara..endeleza na wewe mkuu