kuna wengine wanaomba wake zao wawe hizo vuvuzela ................wanapewa silent treatment wenyewe wanachoka
...ha ha, yaani umuite Vuvuzela bila sababu? Goodluck bro.
Mimi nimeamua kununua la ukweli ukweli, akianza tu kelele zake nalipuliza.....'vuuuuuuuuuuuuu!'
Wanawake wengine kelele zao ni kama za wale mbu wa maskioni, hata uwa ignore vipi unakereka tu!
hata humu JF kuna maVUVUZELA kibao! kuna vuvuzela moja limeingia forum ya JF DOCTOR linalazimisha hata wagonjwa wajadili SIASA hospitali.
Ngoja leo nikamtesti waifu kwa kumuita vuvuzela. Msiponiona hapa jamvini kesho mjue mambo yameshaharibika...........