Sajenti
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 3,651
- 412
...Lakini FL1 hizo avatar zako sijui kuna hata moja inafanana na wewe au vipi? Hao wadada wanakuwa watamu sana kama huyu wa sasa hizo lips mi mpaka nahisi usingizi....nikizipata hizo kwa dakika 10 tu hizo mh!:A S tongue:ound::A S tongue:..Nilidhani ni lile vuvuzera lingine......Yaani hii Vuvuzela sasa imakuwa balaa ndo maana wazungu walianza kuipigia kelele mapema wakijua madhara yake.
Pole sana kwa dada haya watuachie sisi wabongo ......