Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,475
- 39,991
Hii habari imenifanya nifikirie sana. Hivi huyu dada alikuwa na ugomvi na hili vuvuzela? Haiwezekani kweli kulipuliza kwa raha bila karaha na ukatoka mwenye furaha? Naamini wakati mwingine watu wanaumiza mataya na makoo kwa sababu hawajui jinsi ya kupuliza vuvuzela vizuri au inavyopaswa na wanataka kujifanya wanasarakasi au wana mmbwembwe.
Habari yenyewe iko sehemu fulani, for it is not that important (google "vuvuzela's first victim) au soma kwa undani HAPA
Lakini ujumbe kuwa siyo nguvu bali utaalamu unahitajika.
Habari yenyewe iko sehemu fulani, for it is not that important (google "vuvuzela's first victim) au soma kwa undani HAPA
Lakini ujumbe kuwa siyo nguvu bali utaalamu unahitajika.