Vuvuzela Comedy "Copy n Paste"

ngoshwe

JF-Expert Member
Mar 31, 2009
4,131
931
Kwa wale wanofuatilia Vipindi vya Clouds TV, kile kipande cha Vichekesho "Nimekubamba" cha The Vuvuzela Comedy Show ya Evans Bukuku ni mambo ya "Copy n Paste" na save changes .

Kazi za sanaa Bongo kama kawaida, angalia hapa:



 
Last edited by a moderator:
Kwa wale wanofuatilia Vipindi vya Clouds TV, kile kipande cha Vichekesho "Nimekubamba" cha The Vuvuzela Comedy Show ya Evans Bukuku ni mambo ya "Copy n Paste" na save changes .

Kazi za sanaa Bongo kama kawaida, angalia hapa:





Yani kwanza wasanii wake hawajui kuigiza kazi waliyonayo ni kulazimisha kuigiza.
Kipengele cha imekubamba wamecopy citizen tv kwenye kipindi kinaitwa NASWA.
Stand up comedy ndo hamna kitu hata kidogo yani kama kuna watu wanacheka basi huwa wanawacheka jinsi wanavyoforce kuchekesha.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom