IRINGA MOJA
JF-Expert Member
- Nov 13, 2014
- 503
- 229
Ukizoea vya kunyongwa hakika utapata shida sana kula vya kuchinjwa, hebu mwana JF mwenzangu na mpenda mabadiliko hebu vuta picha ya namna nafasi ndogo tu ya uongoz ngazi ya kitongoji kwa ccm inavyogombewa na kutawaliwa na rushwa !!!
Itakuwaje nafasi hii adimu ya kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani bungeni na uroho wa madaraka mixer mazoea ya kula vya kunyongwa kwa CCM?
Hakika Hawa jamaa watapata shida kwanza watakuwa wachache kwani majimbo mengi mwaka huu ni mali ya UKAWA kwani CHADEMA, LOWASSA na UKAWA ni zaidi ya upepo kwani wamefanya ghafla watanzania wengi na kwa pamoja tuongee sauti moja dhidi ya CCM na udharimu waliotufanyia miaka nenda rudi.
VIVA UKAWA 2015
Itakuwaje nafasi hii adimu ya kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani bungeni na uroho wa madaraka mixer mazoea ya kula vya kunyongwa kwa CCM?
Hakika Hawa jamaa watapata shida kwanza watakuwa wachache kwani majimbo mengi mwaka huu ni mali ya UKAWA kwani CHADEMA, LOWASSA na UKAWA ni zaidi ya upepo kwani wamefanya ghafla watanzania wengi na kwa pamoja tuongee sauti moja dhidi ya CCM na udharimu waliotufanyia miaka nenda rudi.
VIVA UKAWA 2015