Chaimaharage
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 211
- 78
Kuna taarifa ambazo hazija thibitika kuwa vurugu zilizo tokea kule Zanzibar ziliandaliwa maksudi na wanao taka hoja ya muungano isijadiliwe wala kushika kasi kama ilivyo sasa.Kwa hiyo wana jamvi kuweni makini sana mnapo jadili jambo hili manake ni mtego umeandaliwa kupotezea hoja ya muungano.