Nimepata taarifa kutoka kwa mtu aliye eneo la tukio kuwa kuna vurugu kubwa zinaendelea eneo la Chan'ombe Dar. Vurugu hizo inasemekana zinahuzisha askari wa kikosi cha kutuliza ghasia (FFU) na watu wanaosadikiwa kuwa ni waislamu.
Vurugu zipo katika eneo linalomilikiwa na waislamu pale Chang'ombe, ambapo inasemekana kuwa kuna mgogoro kati ya pande mbili za waislamu.
Mabomu yameendelea kurindima na inasemekana hali ni tete sana.
Nitawajuza pindi nikipata taarifa zaidi.
************
MODERATOR:
JF imefuatilia na kubaini kuwa zilitokea purukushani za hapa na pale lakini SI MABOMU na hata hivyo FFU walishaondoka eneo la tukio.
Vurugu zipo katika eneo linalomilikiwa na waislamu pale Chang'ombe, ambapo inasemekana kuwa kuna mgogoro kati ya pande mbili za waislamu.
Mabomu yameendelea kurindima na inasemekana hali ni tete sana.
Nitawajuza pindi nikipata taarifa zaidi.
************
MODERATOR:
JF imefuatilia na kubaini kuwa zilitokea purukushani za hapa na pale lakini SI MABOMU na hata hivyo FFU walishaondoka eneo la tukio.