Hayo yote sawa lakini kuchoma kanisa hapana, hiyo haikubaliki hata kidogo!kanisa linahusiana vipi na siasa au muungano?hivi wakristu wakijibu kwa kuchoma misikiti itakuwaje??siasa zifanywe kama siasa na dini ziachwe kama dini!!
Kama mna uwezo wa kuchoma hapa Zenji fanyeni muone, watu wenyewe tumewakaribisha huko Zenji alafu mjifanye mnahaki sawa na wenyeji weee jaribu uone.