Vurugu Zanzibar, makanisa yachomwa moto!

Hiyo ni demonstration. Binadamu anapo nyanyaswa sana, huonyesha hisia zake kwa namna tofauti, hata kama njia hiyo anayoitumia haina tija. Kikwete lazima sasa akubali Muungano ujadiliwe katika Tume ya kukusanya maoni ya Katiba, vinginevyo ajiandae kumwaga damu kama alivyofanya mtangulizi wake "mmwagaji damu mkuu" Mkapa
 
kwanini kanisa linakupa hofu wewe kama muislam?
Hofu sio Kanisa, ni upotofu !Mara Mungu alikuwa mtu, mara alipigwa, mara kafa, mara kafufuka, mara ana baba'ke, mara ana mama'ke ! Sasa huyo mungu anatofauti gani na Mwingira au Kakobe ?
 
hapa si suala la muungano tu....kuna mengineyo nyuma ya pazia.
kama klabu.jpg kamanda.jpg kamandaz.jpg rock city.jpg

picha kwa hisani ya: ***RCHUGGA UPDATES***
 

Attachments

  • waumini.jpg
    waumini.jpg
    47.3 KB · Views: 98


hapana si mzanzibar lakini ni muislam ...



yeh makanisa yote mapya yatachomwa moto... wasikigeuze kisiwa kama mbeya kila baada ya nyumba kumi kanisa ...




hapo kwenye RED haitaki torch hiyo!! Inajulikana hivo na itaendelea kuwa hivo...

[/COLOR][/B]

dont make your self look stupid .... btw who the hell is juliana shonza



C.R.AP Get back in your little hole >> rudi ukiwa na hoja ....
Z
Zanzibar ni koloni letu la kudumu....utaki unaacha
 
Hadi hivi sasa maduka mengi unguja yamefungwa kwani kunatime mabomu yalipigwa hadi maeneo ya Mwanakwerekwe sokoni baada ya wafanyabiashara kupiga mawe gari la polisi lililokuwa likikatiza tu.
 
Mimi si Mzanzibari ni Mtanganyika tena ni Mtanganyika haswa, nilizaliwa wakati nchii hii haijabadilishwa jina na Nyerere na kupewa jina alilotoa Mhindi wa Tanga.

Moja katika makosa makubwa sana aliyoyafanya Nyerere ni huu Muungano, wakati alikuwa anashadidia Biafra itengane na Nigeria kwa masuala ya kidini alikuwa analazimisha Zanzibar iungane na Tanganyika, haya ndio matokeo ya maamuzi na utawala mbovu wa Nyerere.

Maslahi ya nchi hii hayapatikani na huu muungano usio na maridhiano. Mbona tuliweza kuivunja East African Community kwa kuwa haikuwa na maslahi kwetu kwa wakati huo? na sasa tunaingia katika kuziunganisha Afrika Mashariki kwa mazungumzo na njia zinazokubalika na wote.

Ili kuudumisha huu Muungano na ushirikiano wa ukweli, ni muhimu uvunjwe na zifanyike njia zinazokubalika na wote kuunda upya kama ilivyo kwa Afrika Mashariki.

Kikwete ukitaka muungano uwe imara kuuvunja ndio njia sahihi na kuanza mazungumzo upya ni vipi uwe muungano wa uhakika.

Hata madaktari wanapoirekebisha mifupa iliyoungika vibaya, huivunja kwanza na kuitengeneza vizuri. Kuuvunja Muungano ndio tiba ya huu Muungano si vingine.
 
Muungano huu usio na tija kwa pande zote ndio utakuwa chanzo cha machafuko Tanzania.Uvunjwe na Zanzibar iwe huru kujifanyia maamuzi yake. Una faida gani. Wabara hawautaki, Wavisiwani hawautaki. Huu Muungano unatakiwa na kanisa tu,
Zanzibar inabidi kwanza wakubali Tanganyika ijenge Guantanamo Bay huko kwao ndiyo walete habari za kuvunja Muungano. Waarabu hawaaminiki.
 
kwasasa naamini kabisa kwa upande wa zanzibar, ujenzi wa makanisa/ukristo ndiyo kero kuu ya muungano...utatatua kero zote lakini kama utaruhusu uhuru wa kuabudu kwa madhebu mengine(especially ukristo) bado utakuwa unatengeza tatizo jingine...ndiyo maana wanataka muungano uvunjwe kabisa ili waweze kufanya mambo yao wenyewe...!

Usichanganye mambo halafu usiwasemee wazanzibar kama unataka kuleta mambo yako ya udini kuna jukwaa lake, huu muungano hauna tija kote kote.
 
hahahaha! Ndo madhara ya kupambana na adui upepo-humuoni, humfaham na humjui. Wangeichoma ikulu ningewaunga mkono
 
Hofu sio Kanisa, ni upotofu !Mara Mungu alikuwa mtu, mara alipigwa, mara kafa, mara kafufuka, mara ana baba'ke, mara ana mama'ke ! Sasa huyo mungu anatofauti gani na Mwingira au Kakobe ?
wajerumani wana msemo mmoja hivi 'das geht mir am arsch vorbei'...unachoabudu wewe na wenzako ni mambo yenu wenyewe, na unachofikiria kuhusu mimi na imani yangu ni mawazo yako binafsi lakini siyo reality kwangu mimi...kama wewe unavyoona dini ya mwenzako siyo ya ukweli basi yeye anaona dini yako siyo ya ukweli...kinachotutofautisha mimi na wewe ni uvumilivu na uwezo wa kufuata dini yangu kikamilifu kwa mawazo,maneno na vitendo...ninawaheshimu waislam na wala siwezi kuhofia kubadilishwa dini hata kama nimezungukwa na misikiti mia...hofu kwa dini nyingine huwa wanayo watu wasiojiamini katika dini zao...ni sawasawa na kuwa na mpenzi huku haujiamini kama atakuwa na wewe siku zote endapo atatongozwa na watu wengine...!
 
Nashawishika kuamini sasa kuwa Kero ya Muungano huko Zanzibar inatumika kama kichaka cha kutekeleza mipango ya kikundi/vikundi vyenye misimamo ya kidini.

Kwa nini kila Vuguvugu la Muungano linapochipua Makanisa huchomwa?

Wewe ungalifuatilia mikutano ya uamsho unalipata jibu kwanini lilichomwa kanisa na si ubalozi wala taasisi nyengine.

kanisa lilitoa wilo kwa polisi mara nyingi tu kua kikundi hichi kushungulikiwe na uamsho walitoa tamko kwa kanisa kua wasiingilie mambo yao wanachofanya ni kutekeleza haki ya ya kutoa wito wa kura ya maoni kuukubali muungano au kuukataa.

Kama makanisa ya zanzibar yasipo jihusisha na chokochoko zidi ya wananchi na polisi basi matokeo haya yangalikua mbali nao.
 
Mimi si Mzanzibari ni Mtanganyika tena ni Mtanganyika haswa, nilizaliwa wakati nchii hii haijabadilishwa jina na Nyerere na kupewa jina alilotoa Mhindi wa Tanga.

Moja katika makosa makubwa sana aliyoyafanya Nyerere ni huu Muungano, wakati alikuwa anashadidia Biafra itengane na Nigeria kwa masuala ya kidini alikuwa analazimisha Zanzibar iungane na Tanganyika, haya ndio matokeo ya maamuzi na utawala mbovu wa Nyerere.

Maslahi ya nchi hii hayapatikani na huu muungano usio na maridhiano. Mbona tuliweza kuivunja East African Community kwa kuwa haikuwa na maslahi kwetu kwa wakati huo? na sasa tunaingia katika kuziunganisha Afrika Mashariki kwa mazungumzo na njia zinazokubalika na wote.

Ili kuudumisha huu Muungano na ushirikiano wa ukweli, ni muhimu uvunjwe na zifanyike njia zinazokubalika na wote kuunda upya kama ilivyo kwa Afrika Mashariki.

Kikwete ukitaka muungano uwe imara kuuvunja ndio njia sahihi na kuanza mazungumzo upya ni vipi uwe muungano wa uhakika.

Hata madaktari wanapoirekebisha mifupa iliyoungika vibaya, huivunja kwanza na kuitengeneza vizuri. Kuuvunja Muungano ndio tiba ya huu Muungano si vingine.
Hapo kwenye bold ndiyo umeniua kabisa! yaani utumbo unacoment humu kila siku nilizani wewe ni kijana usiozidi miaka
30, kumbe lol! ni kikongwe wa miaka 100...shikamoo babu magamba!. BACK TO THE TOPIC -:
Zanzibar ni koloni letu la kudumu full stop....utaki unaacha
 
Naona bado wanasiasa hawalichukulii hili suala la muungano kwa uzito unaostahili. Wanakwepa kabisa kuliongelea. Badala yake wanatumia polisi kuzima opinions za watu. Yanayoendelea Zanzibar ni early warning tuu ya kitakachofuata kama wanasiasa hawatawasikiliza wananchi wa huko na ku-address kile wanachokitaka.

Narudia tena: sovereign lies to the people, not to the rulers. If the people of Zanzibar want their sovereign back, then give them their sovereign. How they will exercise their sovereign is none of our business. Otherwise, kuna uwezekano mkubwa damu ikamwagika Zanzibar kama wanasiasa wataendelea kukaa kimya huku wakitumia polisi.
 
Hofu sio Kanisa, ni upotofu !Mara Mungu alikuwa mtu, mara alipigwa, mara kafa, mara kafufuka, mara ana baba'ke, mara ana mama'ke ! Sasa huyo mungu anatofauti gani na Mwingira au Kakobe ?

Kila mtu ana uhuru wa kuamini atachako. Wapo wanafuata imani ya ki-kristo, wapo wanafuata uislam, wapo hindu, budhist, n.k na pia wapo wasiamini chochote yaani mungu. Wewe unaamini kwenye uislam kwa sababu zako binafsi na ni haki yako, mwingine anaamini kwenye u-kristo kwa sababu zake. Unaposema upotofu sijui una maana gani?

Kama ni kuchambua foundation ya dini yapo mengi sana, lakini bado napata shida kuona baadhi ya waislam kutumia nguvu kubwa sana kumchambua Yesu na sio Mtume wao. Mtu huamini upande huo, sasa kimbelembele cha nini?
 
picha za kanisa la kariakoo znz lilivyochomwa. Hawa jamaa nia yao siyo siasa tu, kuna chuki na udini nyuma yake.
Hawawezi kukaa bila migogoro hawa, hata wakiacha muungano watazua jingine tu
 

Attachments

  • kanisa kariakoo znz.pdf
    295.3 KB · Views: 393
Mungu ibariki Jamhuri ya watu wa Zanzibar. Peoples Power inafanya kazi.
 
Tunasema tena na tunasisitiza kwamba UAMSHO haihusiki na uchomaji moto wa Makanisa, kwasababu tayari kumekuwepo na hila za Wakristu tokea harakati za Uhuru wa Zanzibar kunza na wamekuwa wakifanya hila nyingi ili waonekane wanatengwa na kubughudhiwa na hata kuyachoma moto makanisa yao wenyewe (mfano kanisa la mwera wilaya ya magharibi) na kuwashtumu waislam kumbe walikuwa wantaka msaada wa kulitanua.

Hili tokeo la jana ucku tayarii tuna kila aina ya ushahidi ya kuwa wao wenyewe (wakristu) ndio walichoma moto kanisa lao kwa kutumia vurugu zile na kuwataja waislam kama ndio walochoma, huu wa wakristu ni upuuzi wala hauingii akilini kwanza, kwa kuzingatia kanisa lipo kwenye kambi kuu ya polisi, na pia kama kweli waislam walikusudia kuchoma moto basi lisingali baki hata udongo, lakini cha kushangaza mara baada ya moto dakika chache fire walikuja kuonesha kuwa ni mbinu ilioratibiwa vizuri na hasa ukichukulia masafa ya kambi ya fire iliko si rahisi hata kidogo kuwahi kuuzima moto huo.

Na ikiwa wakristu wamechoka kuishi na wazanzibari bora warudi huku Tanganyika wasisababishe uvunjifu wa amani na vijikesi vya kipuuzi kama hivi.
 
Back
Top Bottom