malafyaleh
Member
- Dec 20, 2011
- 10
- 1
chuo cha vunjwa vioo vyote na wanachuo wamepigwa vibaya mno wengine walazwa na wengine hawaeleweki walipo kisa ni mwanafunzi wa kantalamba kupigwa na kunyang'anywa simu wakiwa na demu wake kibindi cha disco hadi sasa hakieleweki. maana ni shule nzima ilivamia chuo.