Vurugu za Zanzibar na Dar - Predicted Govt failure

FairPlayer

JF-Expert Member
Feb 27, 2006
4,145
716
Wakuu,

Siku nyingi sijawahi kuanzisha topic humu.

Nimekua nikifuatilia kwa makini vurugu za hivi karibuni, nikajaribu kuzifikiria kwa mapana na marefu.

Ninachoweza kusema ni kuwa Serikali yetu imefeli kwenye USALAMA na AJIRA. Nitaelezea kidogo hapo chini.

Kuna kiongozi aliwahi kusema ukosefu wa ajira kwa vijana ni a TIME BOMB. Watu tukabeza...

Naelezea, Timing ya Mtoto alietenda kosa Mbagala na vurugu ni vitu viwili vya kufikiriwa.

Vijana hawana ajira, anasikia kuna kufanya vurugu sehemu akiangalia hana BUKU mfukoni anafanyaje?, anaenda kubahatisha huko kwenye vurugu angalau anaweza kupata hata Buku (shs elfu moja).

Kumbe basi vurugu, maandamano mengi ni "AJIRA" kwa hawa vijana! mie nafikiria hivyo. Haiingii akilini mtu yupo BIZE na shughuli zake halafu umuondoe eti akaandamane tena akavunje amani?, labda uwe na akili ndogo kama yangu ndo utasema uende.

UAMSHO Zanzibar. Hainiingii akilini kwakweli kua serikali imeshindwa kudhibiti hili GENGE. Ukiangalia kwa makini utagundia kuwa hiki kikundi hakikuanza leo. Kilikuwepo kabla. Ni nini basi kinachochea haya mambo?. Kwa hakika ni PESA. Uhamsho wanapata RUZUKU. Hili msiniambie UWT (TISS) hawajui, hawa jamaa wanafadhiliwa kufanya haya wanayofanya. Nani anawafadhili? mbona simpo, hata gari analotumia kiongozi wao kasema kasaidiwa atumie..... Of coz tunahitaji CIA kuja kugundua wafadhili wao.

Vurugu zote zinazotumia UDINI ni Hatari kama vurugu zote zitumiazo UKABILA. Lazima tuzipinge kwa nguvu zote.

Siamini kua mifano tulionayo tumeisahau... siamini kua kuna TISS au intelijensia ya Polisi haioni haya.

Ila Serikali ikiweka mambo sawa na maisha bora kwa kila mtanzania ambayo tuliwahidi hawa watu mwaka 2005 basi hizi vurugu zitatokomea. Na wafadhili wa hizi vurugu wakitembelewa na TRA mara kwa mara watatulia. Hela wanaiba serikalini (kutolipa kodi) kisha wanazipeleka kuishambulia same govt.

AU KUNA WANAOFAIDIKA NA HIZI VURUGU SERIKALINI??

Mrisho Mpoto: Chocheeni kuni mbichi moto ukolee.....

Ni hayo tu

Fairplayer
 
Unrest in Stone Town (Zanzibar) and Dar es Salaam Today Wednesday, October 17, 2012October 17, 2012
U.S. Embassy Dar es Salaam

Stone Town: The U.S. Embassy alerts U.S. citizens that Tanzanian authorities and local media report demonstrations, roadblocks, tire burning, rock throwing, and rioting in the Darajani, Mbuyuni, and Kisonge districts of Stone Town, Zanzibar this afternoon. Demonstrators are upset due to the apparent disappearance of a Muslim cleric in Stone Town.

Dar es Salaam: Police report a crowd is gathering at Police Headquarters on Ohio Street in central Dar es Salaam, demanding the release of a radical cleric who was arrested with 38 other Muslim clerics this morning. There is also a report of unrest in Mbagala, south of Dar es Salaam

These are fluid situations that may change rapidly. Avoid these areas until the situation has returned to normal and continue to monitor local media for updates.

Click this link for a map of the Stone Town area.

Click this link for a map of downtown Dar es Salaam.

We encourage U.S. citizens to enroll in the Smart Traveler Enrollment Program (STEP) for the most up-to-date safety and security information. Keep all of your information in STEP up-to-date by maintaining your current phone numbers and email addresses where you can be reached in case of an emergency.

You can stay in touch and get updates by checking the U.S. Embassy Dar es Salaam website. You can also get global updates at the U.S. Department of State's Bureau of Consular Affairs website, where you can find the current Worldwide Caution, Travel Warnings, Travel Alerts, and Country Specific Information. Follow us on Twitter and the Bureau of Consular Affairs page on Facebook as well, or you can download our free Smart Traveler iPhone App for travel information at your fingertips.

Current information on safety and security can also be obtained by calling 1-888-407-4747 toll-free in the United States or a regular toll line at 1-202-501-4444 for callers from other countries. These numbers are available from 8:00 a.m. to 8:00 p.m. Eastern Time, Monday through Friday (except U.S. federal holidays).

U.S. Embassy in Dar es Salaam, Tanzania
686 Old Bagamoyo Road, Msasani
Tel: [255] (22) 229-4000; Fax: [255] (22) 229-4721
Email: drsacs@state.gov; http://tanzania.usembassy.gov

After hours U.S. citizen emergencies: call +255-(0)22-229-4000
and wait for the operator to answer.


Siamini kuwa hatuoni kabisa kuwa taarifa kama hii INATUHARIBIA UTALII. Maana wageni wengi wanafuatilia vitu kama hivi.
Siamini kuwa serikali haioni hili. Siamini, Siamini, Siamini.

Swali la msingi ni JE KWA FAIDA YA NANI SERIKALI INAFANYA HAYA?
 
kamanda umenene vema sasa, tatizo ni ukosefu wa ajira, na Goverment failure, issue ya Mbagala kwangu mie ni huyo mwalimu wa madrasa kwa kuganga njaa tu kaanzisha kama ajira... kakaa anapotosha watoto wetu badala ya kufundisha misingi ya dini...

Mkuu, ukosefu wa ajira ni zaidi ya Bomu, kwa kuwa serikali ni dhaifu inapuuzia puuzia tu...
 
kamanda umenene vema sasa, tatizo ni ukosefu wa ajira, na Goverment failure, issue ya Mbagala kwangu mie ni huyo mwalimu wa madrasa kwa kuganga njaa tu kaanzisha kama ajira... kakaa anapotosha watoto wetu badala ya kufundisha misingi ya dini...

Mkuu, ukosefu wa ajira ni zaidi ya Bomu, kwa kuwa serikali ni dhaifu inapuuzia puuzia tu...

Kaka ukiacha la ajira kuna hata VIONGOZI serikalini wanaopenda haya yaendelee. Hasa ya UHAMSHO. Kwani Muungano ukivunjika si vyeo vinaongezeka? au sio? Pesa

Serikali inabidi ifidie haya makanisa si ndio? Pesa

Utalii ukipungua si itabidi tutangaze na tuwe na semina kadhaa na makongamano nje ya nchi au sio? Pesa

It is all about Money!
 
Kwakweli mi siko mbali na mtoa mada apa ishu ni ajira,na elimu pia ndugu zetu awana, lakini ata kama tungekua na viwanda vya kutosha watu wasinge kosa ajira kabisa ata kama mtu ajasoma pia kazi zingekuepo za kuwa fiti, mtu kwanzia asubui anakaa kijiweni unategemea nini ata wakimwambia unaandamana bila pesa ana kubali kwasababu anapata kitu cha kumuweka bize aijalishi ni atari. BOMU LIMEANZA KUFUKUTA ASANTE NDUGU LOSAWA KWA KUTABILI.
 
Serikali dhaifu inachukulia poa hizi vurugu kwa sasa lakini impact yake ni kubwa sana. Haiwezekani kila siku ni watu wale wale na kwa sababu almost zile zile na hatua stahiki za kumaliza tatizo hazichukuliwi. Kifupi serikali ipo ipo tu kwenye hili. Inafunika kombe tu. CCM na serikali yake kwa sasa ni janga la kitaifa.
 
Wanachochea kuni mbichi zilizotiwa maji Moto ukolee ugali uivee..

Yaani huyu Mrisho Mpoto ana akili sana kaimba wakati muafaka kabisa.
 
kamanda umenene vema sasa, tatizo ni ukosefu wa ajira, na Goverment failure, issue ya Mbagala kwangu mie ni huyo mwalimu wa madrasa kwa kuganga njaa tu kaanzisha kama ajira... kakaa anapotosha watoto wetu badala ya kufundisha misingi ya dini...

Mkuu, ukosefu wa ajira ni zaidi ya Bomu, kwa kuwa serikali ni dhaifu inapuuzia puuzia tu...


Tatizo ni hilo tuu? hivi serikali ni nini? sisi wananchi hatuna role yoyote? mimi naona watanzania tunapenda kuiga mno! Mwalimu aliwahi kutoa mfano wa mtu mwenye almasi anavyoweza kudanganywa na tapeli mwenye kipande cha chupa wakabadilishana kiulaini!! sisi watanzania tulikuwa na almasi yetu iitwayo "Amani", wamekuja wapuuzi wametwambia ni feki, tumekubali sasa imetoweka, tuanaaanza kutafuta sababu oh, ajira, ooooh serikali dhaifu, oooooh blah, blahhhh, tutazitoa sana but, the beautiful peaceful TZ we had is no longer!! issue ya Zanzibar tayari ipo Aljazeera, ngoja tuone hiyo kesho Dar!

kwamba tatizo ni kazi si sababu pekee maana hakuna nchi duniani iliyofanikiwa kutoa kazi kwa kila mtu ata USA si wote waliosoma wana kazi! I am out!
 
Nasikia kanisa lingine limechomwa YOMBO leo!!

Kweli hatuna Polisi au hata usalama wa Taifa?

Kwani amani ikitoweka si ni failure ya usalama wa taifa?

Am sure kuna anaye faidika na hizi vurugu. Naombeni mnikosoe .
 
Wakuu,

Siku nyingi sijawahi kuanzisha topic humu.

Nimekua nikifuatilia kwa makini vurugu za hivi karibuni, nikajaribu kuzifikiria kwa mapana na marefu.

Ninachoweza kusema ni kuwa Serikali yetu imefeli kwenye USALAMA na AJIRA. Nitaelezea kidogo hapo chini.

Kuna kiongozi aliwahi kusema ukosefu wa ajira kwa vijana ni a TIME BOMB. Watu tukabeza...

Naelezea, Timing ya Mtoto alietenda kosa Mbagala na vurugu ni vitu viwili vya kufikiriwa.

Vijana hawana ajira, anasikia kuna kufanya vurugu sehemu akiangalia hana BUKU mfukoni anafanyaje?, anaenda kubahatisha huko kwenye vurugu angalau anaweza kupata hata Buku (shs elfu moja).

Kumbe basi vurugu, maandamano mengi ni "AJIRA" kwa hawa vijana! mie nafikiria hivyo. Haiingii akilini mtu yupo BIZE na shughuli zake halafu umuondoe eti akaandamane tena akavunje amani?, labda uwe na akili ndogo kama yangu ndo utasema uende.

UAMSHO Zanzibar. Hainiingii akilini kwakweli kua serikali imeshindwa kudhibiti hili GENGE. Ukiangalia kwa makini utagundia kuwa hiki kikundi hakikuanza leo. Kilikuwepo kabla. Ni nini basi kinachochea haya mambo?. Kwa hakika ni PESA. Uhamsho wanapata RUZUKU. Hili msiniambie UWT (TISS) hawajui, hawa jamaa wanafadhiliwa kufanya haya wanayofanya. Nani anawafadhili? mbona simpo, hata gari analotumia kiongozi wao kasema kasaidiwa atumie..... Of coz tunahitaji CIA kuja kugundua wafadhili wao.

Vurugu zote zinazotumia UDINI ni Hatari kama vurugu zote zitumiazo UKABILA. Lazima tuzipinge kwa nguvu zote.

Siamini kua mifano tulionayo tumeisahau... siamini kua kuna TISS au intelijensia ya Polisi haioni haya.

Ila Serikali ikiweka mambo sawa na maisha bora kwa kila mtanzania ambayo tuliwahidi hawa watu mwaka 2005 basi hizi vurugu zitatokomea. Na wafadhili wa hizi vurugu wakitembelewa na TRA mara kwa mara watatulia. Hela wanaiba serikalini (kutolipa kodi) kisha wanazipeleka kuishambulia same govt.

AU KUNA WANAOFAIDIKA NA HIZI VURUGU SERIKALINI??

Mrisho Mpoto: Chocheeni kuni mbichi moto ukolee.....

Ni hayo tu

Fairplayer

Ndugu yangu fairplayer UWT (TISS) wako kwa ajili ya CHADEMA, uLIMBOKA. pIA Intelligency ya polisi iko kwa ajili ya CHADEMA. Angalia walivyotaabika kumkamata mtu hatali katika jamii ya watanzani, angalia ambavyo wanaifumbia macho radio hatari kwa mustakabali wa watanzania, zaidi sana anagalia ambavyo kikundi kidogo na chenye wafuasi wachache cha uamsho kinavyopeleka vidole machoni kwa mwema, othman na wengine! kuna TISS hapo? kuna intelligence ya police hapo!
 
Tatizo ni hilo tuu? hivi serikali ni nini? sisi wananchi hatuna role yoyote? mimi naona watanzania tunapenda kuiga mno! Mwalimu aliwahi kutoa mfano wa mtu mwenye almasi anavyoweza kudanganywa na tapeli mwenye kipande cha chupa wakabadilishana kiulaini!! sisi watanzania tulikuwa na almasi yetu iitwayo "Amani", wamekuja wapuuzi wametwambia ni feki, tumekubali sasa imetoweka, tuanaaanza kutafuta sababu oh, ajira, ooooh serikali dhaifu, oooooh blah, blahhhh, tutazitoa sana but, the beautiful peaceful TZ we had is no longer!! issue ya Zanzibar tayari ipo Aljazeera, ngoja tuone hiyo kesho Dar!

kwamba tatizo ni kazi si sababu pekee maana hakuna nchi duniani iliyofanikiwa kutoa kazi kwa kila mtu ata USA si wote waliosoma wana kazi! I am out!

Mkuu unaishi nchi gani? namashaka sana na wewe, Ukosefu wa AJIRA Tanzania unacompare na USA ana nchi zingine? pole sana,

mfano ujeruman...kuna Job Creation Department, ipo chini ya serikali kazi yao ni kutengeneza ajira kwa watu wake, Je serikali hii dhaifu imatengeneza ajira?

Bado hujajuaudhaifu ndio umetuleta hapa? pole sana ndugu?

Kwa serikali makini kama ya mwalimu na nchi zingine zote kitu cha kwanza ni kuhakikisha usalama wa nchi...imagine kinaibuka kikundi na kiaanza kuukosoa katiba waziwazi/ muungano... wakati watawala wetu wameapa kuilinda na kuutetea katiba, serikali inawacha wanapata umaarufu, wamapata wafuasi ndio inaanza kuchukua hatua...

soma signature yangu utajua kwa nini tumefika hapa tulipo...
Tafakari.
 
Waingereza wana msemo, " AN IDLE MIND IS THE HOME OF THE DEVIL" Hawa vijana wengi wasio kuwa na ajira wanaona afadhali wafanye fujo pengine wakienda mahabusu wanaweza angalau kupata mlo mmoja kuliko huku waliko ambapo hawana hakika hata ya dona na maharage.

Ndio maana huko mijini ambako vijana wengi hawana shuhuli mmaluma za kufanya ukilinganisha na vijijini , ajali ikitokea badala ya kusaidia wao kwanza ndio wanawaibia wahanga wa ajali; hii yote inaonesha desperation ya maisha ya vijana wetu. Hivyo basi akitokea mtu anaeweza kuwafadhili hawa vijana kukidhi njaa yao ni rahisi hawa vijana kutumika hata kwa mambo ya kigaidi.
 
Wakuu,

Siku nyingi sijawahi kuanzisha topic humu.

Nimekua nikifuatilia kwa makini vurugu za hivi karibuni, nikajaribu kuzifikiria kwa mapana na marefu.

Ninachoweza kusema ni kuwa Serikali yetu imefeli kwenye USALAMA na AJIRA. Nitaelezea kidogo hapo chini.

Kuna kiongozi aliwahi kusema ukosefu wa ajira kwa vijana ni a TIME BOMB. Watu tukabeza...

Naelezea, Timing ya Mtoto alietenda kosa Mbagala na vurugu ni vitu viwili vya kufikiriwa.

Vijana hawana ajira, anasikia kuna kufanya vurugu sehemu akiangalia hana BUKU mfukoni anafanyaje?, anaenda kubahatisha huko kwenye vurugu angalau anaweza kupata hata Buku (shs elfu moja).

Kumbe basi vurugu, maandamano mengi ni "AJIRA" kwa hawa vijana! mie nafikiria hivyo. Haiingii akilini mtu yupo BIZE na shughuli zake halafu umuondoe eti akaandamane tena akavunje amani?, labda uwe na akili ndogo kama yangu ndo utasema uende.

UAMSHO Zanzibar. Hainiingii akilini kwakweli kua serikali imeshindwa kudhibiti hili GENGE. Ukiangalia kwa makini utagundia kuwa hiki kikundi hakikuanza leo. Kilikuwepo kabla. Ni nini basi kinachochea haya mambo?. Kwa hakika ni PESA. Uhamsho wanapata RUZUKU. Hili msiniambie UWT (TISS) hawajui, hawa jamaa wanafadhiliwa kufanya haya wanayofanya. Nani anawafadhili? mbona simpo, hata gari analotumia kiongozi wao kasema kasaidiwa atumie..... Of coz tunahitaji CIA kuja kugundua wafadhili wao.

Vurugu zote zinazotumia UDINI ni Hatari kama vurugu zote zitumiazo UKABILA. Lazima tuzipinge kwa nguvu zote.

Siamini kua mifano tulionayo tumeisahau... siamini kua kuna TISS au intelijensia ya Polisi haioni haya.

Ila Serikali ikiweka mambo sawa na maisha bora kwa kila mtanzania ambayo tuliwahidi hawa watu mwaka 2005 basi hizi vurugu zitatokomea. Na wafadhili wa hizi vurugu wakitembelewa na TRA mara kwa mara watatulia. Hela wanaiba serikalini (kutolipa kodi) kisha wanazipeleka kuishambulia same govt.

AU KUNA WANAOFAIDIKA NA HIZI VURUGU SERIKALINI??

Mrisho Mpoto: Chocheeni kuni mbichi moto ukolee.....

Ni hayo tu

Fairplayer

Waingereza wana msemo, " AN IDLE MIND IS THE HOME OF THE DEVIL" Hawa vijana wengi wasio kuwa na ajira wanaona afadhali wafanye fujo pengine wakienda mahabusu wanaweza angalau kupata mlo mmoja kuliko huku waliko ambapo hawana hakika hata ya dona na maharage!! Ndio maana huko mijini ambako vijana wengi hawana shuhuli maalum za kufanya ukilinganisha na vijijini , ajali ikitokea badala ya kusaidia wao kwanza ndio wanawaibia wahanga wa ajali; hii yote inaonesha desperation ya maisha ya vijana wetu. Hivyo basi akitokea mtu anaeweza kuwafadhili hawa vijana kukidhi njaa yao ni rahisi hawa vijana kutumika hata kwa mambo ya kigaidi!!
 
Kuna mpango wa waislam wenye siasa kali kufanya vurugu baada ya sala ya alasasiri kwa mujibu wa inteligency information kushinikiza kuachiwa kwa akina ponda na wezake.

Kama walifanikiwa wakati walipoandama na kuachiwa bila masharti kwa wale waliozuia sensa ni nini kitakachowazuia wasitimize azma yao leo?
 
Kuna mpango wa waislam wenye siasa kali kufanya vurugu baada ya sala ya alasasiri kwa mujibu wa inteligency information kushinikiza kuachiwa kwa akina ponda na wezake.

Kama walifanikiwa wakati walipoandama na kuachiwa bila masharti kwa wale waliozuia sensa ni nini kitakachowazuia wasitimize azma yao leo?
DOnt pray foR this thing to happen broda, tena kemea katika Jina la Yesu...my name-mate PJ!
 
Wakristu kwa umoja wetu tumiminike makanisa tukazihami nyumba za mungu! ni fedheha , aibu na najisi kwetu kuruhusu nyumba za mungu na madhabahu zake zilizowekwa wakfu na mungu anakaa humo kuchomwa moto huku tukiwa tunaangalia! Tusichokoze mtu wala kuingilia maandamano lakini atakayesogelea nyumba za ibada na mali za makanisa kwa lengo la kuchoma na kupora tupambane nae bila kujali ni mkristu, muislam, myahudi, au mpagani!
 
Vurugu zimetokea.

Tulipost hii kitu jana. Siamini mimi mwananchi ninayekaa Mabwepande naweza kujua kuliko TISS wenye zana na bajeti ya hela ya kutosha.

Polisi wameshindwa wameingia wanajeshi.

A TIME BOMB,........yupo wapi ambaye bado anapinga?
 
Back
Top Bottom