Philipo Kidwanga
JF-Expert Member
- Jul 12, 2012
- 2,042
- 599
mimi nilipoona jussa anajiuzulu kirahisi rahisi tu nikajua ya ziada yanakuja.
Sasa huyo said si muislamu mwenzao?
Imani za kuiga zisitufikishe tulipo. Uislamu na Ukristo zote naita umani za kuiga kwa sababu kabla ya kuletewa, kulikuwa na imani za kwetu. Nani mwenye uthibitisho wa kisayansi kuwa imani ipi ni sahihi na ipi si sahihi? Wageni wametufikisha pabaya na wanachekelea ujinga wetu.
matunda ya ccm hayo walijua wanaikomaoa chadema tu..
Mkuu huko Zenj hii haihusiani na udini ni kuhusu Muungano tu!Hawa UAMSHO wao wanatumwa na wakubwao wao huko Oman kuhakikisha wanavunja muungano!
Sio fahari mazee