Wassira alimjibu Mbowe ( Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni) kuwa hakuna udini wanaosema udini ni wao ndo wadini Alipoitaka serikali kuwajibisha vyombo vya habari vinavyochochea udini na kutaka vyama vya siasa vinavyotuhumiwa ni vya kidini basi vifutwe.........MAGAMBA WAMEKUWA WAKITUMIA UDINI WAKITEGEMEA UTAISHIA KWENYE KUITUHUMU CDM tu sasa hiyo dhambi inawamaliza RIP--MAGAMBA