Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 9,482
- 14,351
mbona wameingia mikataba na wachina kwa siri tena usiku?
hiinchi ni mali ya ccm
Mkataba gani tena mkuu?
mbona wameingia mikataba na wachina kwa siri tena usiku?
hiinchi ni mali ya ccm
waheshimiwa mnaotumia magari ya stk,su stj wasikilizeni vijana risasi mabomu hayatawatuliza.hapa ni jukumu lenu kukaa chini na kusema nini kifanyike kunusuru taifa