Lole Gwakisa
JF-Expert Member
- Nov 5, 2008
- 4,728
- 2,256
Suala mbona rahisi sana.Nafikiri hujui kazi na majukumu ya mbunge na chama, kazi ya Nassari si kutuliza vurugu, kama unaweza waammbie serikali iwaazime CDM Wizara ya mambo ya ndani hata kwa wiki moja halafu ndipo uje utoe lawama zako.
Nassari hata hajamaliza wiki nafikiri hata kaunda suti yake ya kuapia bado inanukia upya unauliza amefanya nini why shouldn't you ask MPs who have been in bunge for decades what have they done. Leave Nassari for about 3 years then come with your judgements but not today buddy.
Toeni tamko rasmi kama mada inavyosema ili mkichukua nchi iwe payback time.
Kuanzisha vurugu ni pipooooz!
Wakati wa virungu kila mtu na lwake?
In the meantime wafuasi wa chama chenu wana subiri tamko lenu.
What precedence are you setting?