Vurugu ya shopping ya sikukuu.........

The Boss

JF-Expert Member
Aug 18, 2009
49,108
115,847
Kuna mambo mimi huwa hata siyaelewi kwa kweli......
Sometimes mimi huwa najiona tofauti sana na watu wengine....


Sasa hivi utakuta watu wengi wako bize kwa
shopping....ukiwauliza watakwambia

sababu ya sikukuu......

Wengine wanasema ni kwa ajili ya watoto.
Wengine utasikia eti' mke wangu hatanielewa nisipompa pesa
ya shopping ya sikukuu'

sasa ukienda kariakoo now au mlimani city na kwengineko......
Utakuta watu wamefurika....
Kariakoo sasa hata pa kupita hakuna........

Ukiuliza kuna nini....
Unajibiwa si sikukuu imekaribia........
Na kipindi cha xmass ni hivyo hivyo.....

Sasa mimi najiuliza ni lazima watu wafanye shopping
kila sikuku zinapokaribia???????

Kwa nini mtu usifanye shopping zako mapema
na kwa ratiba zako??????

Watu kujazana madukani,kwanza
bei za vitu zinapanda karibu mara tatu,hasa nguo za watoto...

Halafu hatari ya kuibiwa pesa kipindi hiki ni kubwa sana na utapeli mwingine.....

Mwisho kwani lazima kila ikifika sikukuu ndio
ufanye shopping????????????

Kuna wanawake wengine ni kama watoto.......
Na wao wanataka shopping ya sikukuu........

Binafsi huwa nachukia sana kuona watu wanajazana mitaani

eti ukiwauliza utasikia......sikukuu imekaribia....
Yaani pilikapilika na foleni zisizo na lazima kabisa......
 
Wakati wa sikukuu familia zinapata fursa ya kukaa pamoja na kufanya lolote la kufurahishana!

Kutokana na mfumo wa maisha kuwa na shinikizo nyingi za kuzikabili,unakuta watu wanakuwa bize, wengine huenda mbali na nyumbani ili kupata riziki!...

Lakini wakati wa sikukuu hujitahidi kuwapo nyumbani pamoja na familia zao ili kutathmini pamoja maendeleo yao, na si mbaya kama watafanya shopping na kupendeza kwa pamoja!-Thats My take!
 
Ishu hapa si kukaa pamoja...
Ishi kukuta watu wamejazana kariakoo na kwingineko
mpaka hakuna pa kupita kwa sababu ya shopping tu ya sikukuu....
Kusherehekea pamoja unaweza kusafiri na familia yako au kualika
watu nymbani kwako mkasherehekea.......

Mimi nachopinga hapa kusababisha misongamano isiyo na lazima......
 
urith wetu, sijui kama nchi za wenzetu huu ni utamaduni pia, tulishaazoenshwa kila sikukuu nguo mpya, ukibahatika siku za kawaida ni mtumba
 
ni kweli kwani kama uwezo wa maisha ni mdogo,siku ya sikukuu ni siku ya kupata kama nguo mpya au kula pilau,hasa kwa watoto wadogo siku hiyo wanajihisi special.na kufanya shopping kipindi hicho,kwa sababu pesa kama unaenda kukopa,utakopa sababu ya sikukuu kwa hiyo inakuwa ni kipindi hicho,na kama unazichanga pesa,zinakamilika kipindi hicho cha karibu ya sikukuu. Lakini kwa watu wenye uwezo wao,siku yoyote zinanunuliwa nguo mpya au kula vizuri ni kila siku sio siku ya sikukuu tu.
 
Back
Top Bottom