The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,108
- 115,847
Kuna mambo mimi huwa hata siyaelewi kwa kweli......
Sometimes mimi huwa najiona tofauti sana na watu wengine....
Sasa hivi utakuta watu wengi wako bize kwa
shopping....ukiwauliza watakwambia
sababu ya sikukuu......
Wengine wanasema ni kwa ajili ya watoto.
Wengine utasikia eti' mke wangu hatanielewa nisipompa pesa
ya shopping ya sikukuu'
sasa ukienda kariakoo now au mlimani city na kwengineko......
Utakuta watu wamefurika....
Kariakoo sasa hata pa kupita hakuna........
Ukiuliza kuna nini....
Unajibiwa si sikukuu imekaribia........
Na kipindi cha xmass ni hivyo hivyo.....
Sasa mimi najiuliza ni lazima watu wafanye shopping
kila sikuku zinapokaribia???????
Kwa nini mtu usifanye shopping zako mapema
na kwa ratiba zako??????
Watu kujazana madukani,kwanza
bei za vitu zinapanda karibu mara tatu,hasa nguo za watoto...
Halafu hatari ya kuibiwa pesa kipindi hiki ni kubwa sana na utapeli mwingine.....
Mwisho kwani lazima kila ikifika sikukuu ndio
ufanye shopping????????????
Kuna wanawake wengine ni kama watoto.......
Na wao wanataka shopping ya sikukuu........
Binafsi huwa nachukia sana kuona watu wanajazana mitaani
eti ukiwauliza utasikia......sikukuu imekaribia....
Yaani pilikapilika na foleni zisizo na lazima kabisa......
Sometimes mimi huwa najiona tofauti sana na watu wengine....
Sasa hivi utakuta watu wengi wako bize kwa
shopping....ukiwauliza watakwambia
sababu ya sikukuu......
Wengine wanasema ni kwa ajili ya watoto.
Wengine utasikia eti' mke wangu hatanielewa nisipompa pesa
ya shopping ya sikukuu'
sasa ukienda kariakoo now au mlimani city na kwengineko......
Utakuta watu wamefurika....
Kariakoo sasa hata pa kupita hakuna........
Ukiuliza kuna nini....
Unajibiwa si sikukuu imekaribia........
Na kipindi cha xmass ni hivyo hivyo.....
Sasa mimi najiuliza ni lazima watu wafanye shopping
kila sikuku zinapokaribia???????
Kwa nini mtu usifanye shopping zako mapema
na kwa ratiba zako??????
Watu kujazana madukani,kwanza
bei za vitu zinapanda karibu mara tatu,hasa nguo za watoto...
Halafu hatari ya kuibiwa pesa kipindi hiki ni kubwa sana na utapeli mwingine.....
Mwisho kwani lazima kila ikifika sikukuu ndio
ufanye shopping????????????
Kuna wanawake wengine ni kama watoto.......
Na wao wanataka shopping ya sikukuu........
Binafsi huwa nachukia sana kuona watu wanajazana mitaani
eti ukiwauliza utasikia......sikukuu imekaribia....
Yaani pilikapilika na foleni zisizo na lazima kabisa......