mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,767
- 7,115
anaenda kuokota meno na kucha za Ulimboka Mabwe-pande (msitu wa Damu za wanyonge)
Watu wasiojukikana walikuwa na nia gani wamezuia msafara wa Rais uliolukuwa unapita maeneo ya Namanga.
Watu hao walizuia kwa muda wa sakika kadha hivi kabla ya FFU kutinga maeneo hayo na kuwatimua na ndipo msafara ukapita mpaka sasa FFU wapo kwenye purukushani ya sombasomba maeneo hayo ya namanga.
Chanzo Nimepita hapo muda sio mrefu.
@ rogi nimeipenda comment yako, alienda kutathiminiAnaelekea msitu wa PANDE
Kuzuia barabara hakuna utaalam kaka,ni kujipanga tu kukata barabara.periodHivi msafara wa rais mnauzuiaje? Hapa bado nahitaji technical explanations za namna ambavyo hili limefanyika.
Mmmh, sijui maana kwa ule msafara wa Rais unavyokuwaga, sioni kabisa hiyo nafasi ya wananchi kuweza kusimama tu barabarani na kuzuia, otherwise waliambiwa kwamba Rais angepita maeneo hayo. Na sijui wakati wa kuzuia barabara walianzaje, ina maana walizuia na magari ya kawaida? Anyway sijui, but nafikiri ni jambo gumu sana, bora mngesema wameupopoa kwa mawe, lakini si kuzuia.Kuzuia barabara hakuna utaalam kaka,ni kujipanga tu kukata barabara.period
watu wasiojukikana walikuwa na nia gani wamezuia msafara wa rais uliolukuwa unapita maeneo ya namanga.
Watu hao walizuia kwa muda wa sakika kadha hivi kabla ya ffu kutinga maeneo hayo na kuwatimua na ndipo msafara ukapita mpaka sasa ffu wapo kwenye purukushani ya sombasomba maeneo hayo ya namanga.
Chanzo nimepita hapo muda sio mrefu.
Wameuzuia vipi huo msafara?