M-pesa
JF-Expert Member
- Sep 4, 2011
- 602
- 151
Wewe ni mzee chipaka unajitetea?
Tuwe makini na hii midahalo kwani inaonyesha wazi kuwa inapendelea upande mmoja, hata waandaaji nao wanaonesha wazi kuwa nini wanataka wananchi waamini matakwa yao, kwa nn mnakataa kusikiliza mawazo ya wanaotetea upande wa serikari? C ni mawazotuu au Mnadhani ccm hakuna wanaoiunga mkono'? Au katiba iliyopo hakuna wanaoiunga? , Hawa wakina Kibamba hawatendi haki kbs Kwanza yeye anapohimiza wananchi waingie barabarani kupinga muswaada kusomwa mara ya pili kwani anauhusiana nini na majukumu ya bunge? Kweli msipokuwa makini katiba ijayo itakuwa na mapungufu makubwa kuliko hata iliyopo sasa na itadumu kwa muda mfupi sana,, maana naona ushabiki wa vyama ndo umetawala kuliko kuangalia matatizo yaliyopo. angalieni sana Tanzania ni yetu sote. Na nina imani Wenye mamlaka watazingatia maoni ya wengi lakini Ushabiki achane kila mtu ana haki ya kutoa mawazo yake mahala popote na mujibu wa sheria.MUNGU IBARIKI TANZANIA NA WATU WAKE.