Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,182
- 3,547
leo kuna kundi lisilofahamika limekuja kuvuruga mchako wa katiba na kuna jamaa mmoja amenusurika kupigwa kisa alichangia mdahalo huu......yani hawa jamaa
leo kuna kundi lisilofahamika limekuja kuvuruga mchako wa katiba na kuna jamaa mmoja amenusurika kupigwa kisa alichangia mdahalo huu......yani hawa jamaa
CCM hao ili wawasingizie wale wanaume wao CHADEMA
Wana jamvi nijuzeni nipo safarin sijafatilia vp mzee chipaka kafanyaje mpaka wamemzomea?
ETI HAKA KAKIJANA KANAONGEA KWA UKAKAMAVU NA MSISITIZO WA HALI YA JUU KUWA HAWATUPENDI WATU WA BARA!imzee chipaka ndo alichafua hewa mlepamojana yule kijana aliyesema ametokea pemba
amekashifu wanaodai katiba na amejipambanua yuko na serikali.
ETI HAKA KAKIJANA KANAONGEA KWA UKAKAMAVU NA MSISITIZO WA HALI YA JUU KUWA HAWATUPENDI WATU WA BARA!i