Aliibuka ghafla na kupata umaarufu mkubwa kupitia vyombo vya habari. Huyu si mwingine bali mnadhimu wa jeshi ABDULRAHMAN SHIMBO. Sasa yupo wapi wakati mauaji yametokea Arusha? yupo wapi kutoa tamko lake either alaani au a-support machafuko hayo? Je, ni upi msimamo wake juu ya mchakato wa katiba mpya?