nngu007
JF-Expert Member
- Aug 2, 2010
- 15,862
- 5,797
yawezekana poliCCM wako bize kuandaa movies, ni wasanii wazuri sana siku izi wa kubadili uongo kuwa ukweli wakiongozwa na Sterling kova, maana wamejiondoa katika masuala walosomea ya kupambana na uarifu na sasa wanaangaika namna ya kuisafisha Ikulu, TISS dhidi uarifu na uaramia wanaowafayia watanzania
Tunahitaji kutumia FORENSIC SCIENCE... Nchi Nzima
The best way ya kuwakamata hawa wezi wa sasa ni Forensic Science - badala ya kula pesa; ni kuapgrade POLICE