Fursa Pesa
JF-Expert Member
- May 30, 2012
- 4,432
- 3,251
Yawezekana huyu aliyekojolea biblia si mwislamu halisi bali ni yule mwislamu jina na pengine alikuwa bangi nyingi au aliyebugia kokeni.Hii ni kukosa ufikiri wa kina juu ya imani za wengine na pengine alidanganywa kuwa akifanya hivyo atapewa pakti nyingi za kokeni.