Mfarisayomtata
JF-Expert Member
- Feb 2, 2012
- 474
- 188
Ukiwa unaoga then akaja kichaa akachukua nguo zako akakimbia nazo wewe mzima ukimkimbiza ndio utaonekana taahira...........mbwa ukishamjua jina hakusumbui. Ee bwana usikie kuomba kwetu.
Source gazeti la Majira
Katika kile kinachoonekana ni vuguvugu la udini na ulipizaji kisasi katika mkoa wa Tanga imeripotiwa kuwa kitabu kitakatifu kwa Waumini wa dini ya KIkristo kimekojokewa na mtu anayeaminika kuwa ni mwislam na ikitafsiliwa ni ulipizaji kisasi kwa kilichotokea Mbagala.
No comment on that
Angalia hapo kwenye nyekundu Mzee wetuKwa Wakristu "neno" ni zaidi ya kitabu; tunaambiwa katika Yohana 1: kuwa "Neno akataa mwili akakaa kwetu". Neno ni zaidi ya kitabu ni nafsi hai.
Source gazeti la Majira
Katika kile kinachoonekana ni vuguvugu la udini na ulipizaji kisasi katika mkoa wa Tanga imeripotiwa kuwa kitabu kitakatifu kwa Waumini wa dini ya KIkristo kimekojokewa na mtu anayeaminika kuwa ni mwislam na ikitafsiliwa ni ulipizaji kisasi kwa kilichotokea Mbagala.
No comment on that
Umekaribia ili hujafika. Ukweli upo hivi "Tofauti kati ya uislam na ukristo ni kwamba uislamu ni dini ya mungu na ukristo ni dini ya Mungu" ndiyo maana Mungu(wa wakristo) haitaji kupiganiwa bali anajipigania mwenyewe na kama huyo mtu amefanya kweli hicho kitendo, utaipata tu taarifa yake ya kuwa ni nini kimempata kama asipotubu. It is the difference between the dependent god and Independent(Sovereign) God.Tofauti ya uislam na ukristo ni kwamba uislam ni dini ya mungu ukristo ni dini ya kutengenezwa kitabu chao hakina tofauti na kile cha abunuasi ndio maana hata ukinyea hawajali
Kwa Wakristu "neno" ni zaidi ya kitabu; tunaambiwa katika Yohana 1: kuwa "Neno akataa mwili akakaa kwetu". Neno ni zaidi ya kitabu ni nafsi hai.
MMKJ Sahihisho kidogo "...Neno akatwaa mwili akakaa kwetu"Kwa Wakristu "neno" ni zaidi ya kitabu; tunaambiwa katika Yohana 1: kuwa "Neno akataa mwili akakaa kwetu". Neno ni zaidi ya kitabu ni nafsi hai.
kikwete toa speech na kukemea btw, hawa ndugu zetu waislam hawajui kuwa siku hizi tunazo biblia kwenya tablets aka i pad, ipad+3G, ipad 2, ipad2+3G , i pad 3,simu kibao i phone generations , i phone 3, i phone 4, iphone 5, ma samsung Galax daaaaaaaah natamani nitaje vyote hapa na niwape hawa waislam na link za app za bible .
So wakojolee tu hata wazinyee. Sisi tuna touch tu kitu bible kinatokea .. Kama yeye kidume aje akojolee i pad 3 yangu nimtoe koromea.
wataona kama wakristo hawachukui hatua kwa sababu hawaoni sababu ya kumpigania Mungu!!!!!!!!!!!Mungu hapiganiwi!1
Teknolojia cyo yako peke yako nani kakuambia quran haipatikani humo?
Unalaani wewe kama nani wakati sisi wenye bible tumemsamehe?
Naomba useme kuwa umemsa,ehe na Mungu ampe hekina na uwezo wa kuelewa kosa lake ili asirudie tena...
Unasemaje hapo ndugu yangu?
hata mashine za kuchapisha zikiisha tutaazimana tutoe photocopy1. Biblia zimejaa sana kwenye maduka ni suala tu la kununua nyingine na pia Mashine za kuchapisha vitabu zimejaa sana hata kama kwenye maduka biblia zitaisha. Wakristo hawaabudu vitabu wanaabudu katika roho. Mungu si kitabu, kitabu ni muongozo tu.
2. Ulipizaji kisasi wa namna hiyi ndo mzuri na ndo uislamu unavyotaka kwani kilichokojolewa si msikiti bali ni kitabu. Na hata kama ingekuwa ni msikiti umekojolea, basi kisasi chake ilikuwa ni kukojolea kanisa na si kuchoma.