Vuguvugu la "occupy" linasambaa

Mkuu, siyo ku-kopi (copy), ni occupy, yaani miliki au chukua, hili ni vuguvugu ambalo li
meanza kuenea sasa dunia yote ya nchi tajiri sana na zilizoendelea kiviwanda. Ni kwamba wananchi wanaandamana kupinga sera za kifedha (kiuchumi, zinazopendelea mabenki) za nchi zao na kutowajali wananchi wa kawaida ambao wanaathirika kiuchumi kutokana na sera hizo. Lengo la waandamanaji ni kuzitaka serikali zao ku-review sera hizo ili ziwe fair kwa pande zote, wananchi na mabenki. Vuguvugu hilo limepewa jina la Occupy...... halafu unataja jina la mji mnakoandamana. Mfano Occupy Tokyo.


weweee.. Najua nasema nini, sijakosea, kwa faida yako na wengine nime uliza kama tuige na sisi hiyo move ya europe na us.
Kaka vipi?
Uwe unaangalia katikati ya mistari pia.
Nimekusamehe hata hivyo.
 
...Na Karly Max na Vladimir Lenin wanapokuwa Manabii Wakuu au miungu kabisa, Lol!!...

Kwahabari ya imani yangu yawezekana kabisaaa. Kama walikuwa wamejazwa roho mtakatifu wanaweza kuwa walikuwa miungu na maandiko yetu yanakubaliana na haya! Kwa uthibitisho soma zaburi 82:6 inasema "I have said ye are gods; and all of you are children of the most High". Yesu analitumia hili hili andiko kuthibitisha haya kuwa mwanadamu mwenye roho ya Mungu aweza kuwa Mungu kwa ref. soma Yohana 10:34....Sasa kama hao katika concept zao walikuwa na roho wa Mungu akawapa reveletion yes they were gods for they created something out of words!
 
Kwahabari ya imani yangu yawezekana kabisaaa. Kama walikuwa wamejazwa roho mtakatifu wanaweza kuwa walikuwa miungu na maandiko yetu yanakubaliana na haya! Kwa uthibitisho soma zaburi 82:6 inasema "I have said ye are gods; and all of you are children of the most High". Yesu analitumia hili hili andiko kuthibitisha haya kuwa mwanadamu mwenye roho ya Mungu aweza kuwa Mungu kwa ref. soma Yohana 10:34....Sasa kama hao katika concept zao walikuwa na roho wa Mungu akawapa reveletion yes they were gods for they created something out of words!

...Uwa nakupenda sana Ame, u seems to be ndugu yangu...

...Lets say hawakuvimeet hivyo vigezo vya kuwa miungu kama ulivyovitaja hapo juu, je hawataqualify hawa basi kuwa Manabii Wakuu kama Nyerere umempa Unabii kutokana na kile kinachoendelea Wall Street?
 
...Uwa nakupenda sana Ame, u seems to be ndugu yangu...

...Lets say hawakuvimeet hivyo vigezo vya kuwa miungu kama ulivyovitaja hapo juu, je hawataqualify hawa basi kuwa Manabii Wakuu kama Nyerere umempa Unabii kutokana na kile kinachoendelea Wall Street?

Sifa na utukufu ni kwa Mungu juu mbinguni aliyekuumba kwa sura na mfano wake ambaye pia akaniumba mimi kwa sura na mfano huo huo; truly you are my beloved ndugu!

Kuhusu Nyerere kuwa nabii; soma thread zangu kupitia Magobe....Nyerere ni nabii/profesor kwa maana yakuwa aliyoya predict kuwa yatatokea iwapo humanities hawatakubali kuishi socially (Ku-share natural resources) na in self reliance (kufanya kazi nakupata ujira sahihi kwa kazi aliyoifanya i.e no monopoly = kujitegemea) lazima kutatokea social unrest inayotokana na human nature ya kuwa equal beings katika mahitaji yao muhimu.....Hii ndiyo phylosophy ya mzee wetu mtukukuka...Hao wengine naomba unisaidie sasa tuwaite miungu ama manabii?

Nime enjoy discussion yako na mimi maana hata mimi nimejifunza kitu toka kwako; kuwa humble! Be blessed!
 
Sifa na utukufu ni kwa Mungu juu mbinguni aliyekuumba kwa sura na mfano wake ambaye pia akaniumba mimi kwa sura na mfano huo huo; truly you are my beloved ndugu!

Kuhusu Nyerere kuwa nabii; soma thread zangu kupitia Magobe....Nyerere ni nabii/profesor kwa maana yakuwa aliyoya predict kuwa yatatokea iwapo humanities hawatakubali kuishi socially (Ku-share natural resources) na in self reliance (kufanya kazi nakupata ujira sahihi kwa kazi aliyoifanya i.e no monopoly = kujitegemea) lazima kutatokea social unrest inayotokana na human nature ya kuwa equal beings katika mahitaji yao muhimu.....Hii ndiyo phylosophy ya mzee wetu mtukukuka...Hao wengine naomba unisaidie sasa tuwaite miungu ama manabii?

Nime enjoy discussion yako na mimi maana hata mimi nimejifunza kitu toka kwako; kuwa humble! Be blessed!

Aksante sana...

....Japo siungi mkono kabisa idea ya kuwapa cheo cha "Unabii" wale wote tunaowakubali kwa uwezo na udhubutu wao wa kufikiri na kutenda kwa uadilifu...

...Karl Marx(1818–1883) , is without a doubt the most influential socialist thinker to emerge in the 19th century, his social, economic and political ideas gained rapid acceptance in the socialist movement after his death in 1883. Until quite recently almost half the population of the world lived under regimes that claim to be Marxist. This very success, however, has meant that the original ideas of Marx have often been modified and his meanings adapted to a great variety of political circumstances.

Marx believed that economic relationships were of primary importance, and the conflict between the classes was an inevitability, due to the chasm between the haves and have-nots. This is called the Social Conflict theory. Though a communist, Marx put a lot of stock in materialism. He believed that the major force in world affairs is production: the making and accumulation of stuff. Workers hired to produce the goods that make the world go round feel no great pride in their labors. This only leads to alienation, unrest, and ultimately, revolution.
In Marx's worldview, the majority of people toiled with little reward while the upper classes reaped the fruits of their labor. He saw an inherent inequality in capitalism. Marx believed that situation could not go on forever, and it would eventually reach critical mass and result in a revolution of the working classes against their capitalist masters.

Marx has been described as one of the most influential figures in human history, and in a 1999 BBC poll was voted the "thinker of the millennium" by people from around the world.

Karl Marx - Wikipedia, the free encyclopedia
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Mkuu
Vyombo vya fedha na mabenki yapo Tanzania. Tena yanawakomoa wateja. Unauliza uroho wa corporations wakati huo ndio mfumo kwao?
Hili la uroho wa fedha haliko kwa mabenki tu. Tz tunaadhibiwa na tunaathiriwa na "ufisadi" pia. Kigenge cha wezi wanaojichukulia fedha za umma huwa wanaonekana ndio wajanja na wameula kimaisha.

Ukiweka fedha zako chache benki, siku umekumbuka kuwa uliweka 50,000 elfu zako ,ukienda kutaka kuzichukua unaambiwa;
"doooh, ulikuwa wapi? Tunakutafuta siku nyingi, una deni la 20,000 kama ada ya akaunti"

Yaani 50,000 elfu yako imekwenda na maji na deni juu! Unapandwa na hasira lakini unapokumbuka kuwa TZ ni kisiwa cha "amani na utulivu", unageuka kuelekea mlangoni na kwenda kulalamika nyumbani.


Sera za IMF na World bank zilipoletwa miaka ile, wanasiasa, viongozi wetu walituambia tukaze mikanda na tuchangie huduma za jamii.
Wao wanajiengezea kima cha mishahara na masurufu, marupurupu.

Kasumba ya tukaze mikanda na utamaduni wa kutoa na kupokea rushwa umetufanya tuone kila kitu ni sawa tu.

watanzania tumeacha kujifikiria kama jamii, tunachofanya ni kila mtu kuchumia tumbo lake hata kama ni kuwaumiza watanzania wenzake.
Hata wale walio waelewa wa mambo badala ya kuuamsha umma na kuchukua hatua , ili kushibisha" tumbo" wanakimbilia kwenye "kula" aka siasa.

kAKA HAMIA m-PESA, TOGO PESA, Z PESA, aITEL PESA KWANI HUKOHAKUNA RIBA WALA KUKATWA ZAIDI YA GHARAMA ZA KUTOA NA KUTUMA TUUu.
 
Mkuu, siyo ku-kopi (copy), ni occupy, yaani miliki au chukua, hili ni vuguvugu ambalo limeanza kuenea sasa dunia yote ya nchi tajiri sana na zilizoendelea kiviwanda. Ni kwamba wananchi wanaandamana kupinga sera za kifedha (kiuchumi, zinazopendelea mabenki) za nchi zao na kutowajali wananchi wa kawaida ambao wanaathirika kiuchumi kutokana na sera hizo. Lengo la waandamanaji ni kuzitaka serikali zao ku-review sera hizo ili ziwe fair kwa pande zote, wananchi na mabenki. Vuguvugu hilo limepewa jina la Occupy...... halafu unataja jina la mji mnakoandamana. Mfano Occupy Tokyo.
Mkuu mbona inawezekana ku-kopi hicho kinachoitwa ku-okupai!!
 
Neno democracy limetokana na maneno mawili.Yaani Demon na crasia.Maana ya demon unaijua na crasia ni neno la kilatini lenye maana ya authority.Kwa hiyo democrasia au democracy maana yake ni utawala wa mapepo.Sijui kama unaona jinsi tulivyoingizwa mkenge.Sasa katika utawala wa mapepo unategemea nini.Obviously kilio na kusaga meno.Na bado,matumbo yatauma kwa dhiki zilizopo mbele yetu.
Neno democracy limetokana na maneno ya Kigiriki Demos=people and Kratos=power.Sio Demon na Crasia.
 
Kweli Karl Max ni kiboko.Kazi kwao wanaosema Capitalism is there to stay.
Ngoja nikajikumbushie vile vi-nadharia vya Hegel vya THESIS,ANTITHESIS NA SYNTHESIS.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Aksante sana...

....Japo siungi mkono kabisa idea ya kuwapa cheo cha "Unabii" wale wote tunaowakubali kwa uwezo na udhubutu wao wa kufikiri na kutenda kwa uadilifu...

...Karl Marx(1818–1883) , is without a doubt the most influential socialist thinker to emerge in the 19th century, his social, economic and political ideas gained rapid acceptance in the socialist movement after his death in 1883. Until quite recently almost half the population of the world lived under regimes that claim to be Marxist. This very success, however, has meant that the original ideas of Marx have often been modified and his meanings adapted to a great variety of political circumstances.

Marx believed that economic relationships were of primary importance, and the conflict between the classes was an inevitability, due to the chasm between the haves and have-nots. This is called the Social Conflict theory. Though a communist, Marx put a lot of stock in materialism. He believed that the major force in world affairs is production: the making and accumulation of stuff. Workers hired to produce the goods that make the world go round feel no great pride in their labors. This only leads to alienation, unrest, and ultimately, revolution.
In Marx's worldview, the majority of people toiled with little reward while the upper classes reaped the fruits of their labor. He saw an inherent inequality in capitalism. Marx believed that situation could not go on forever, and it would eventually reach critical mass and result in a revolution of the working classes against their capitalist masters.

Marx has been described as one of the most influential figures in human history, and in a 1999 BBC poll was voted the "thinker of the millennium" by people from around the world.

Karl Marx - Wikipedia, the free encyclopedia

Thank to my God Nyerere was not communist but socialist...Nyerere believed each legal work/labor should be paid for accordingly; him also different from Marx believed individuals can own properties not equally but relatively equal i.e ujira kamili kwa mtenda kazi kwamaana ukifanya kwa ustadi ulipwe stahili yako ukiwa mvivu basi upate vile tu vyakukusaidia kuishi kulinda haki yako ya uhai....He defined bundles of rights from which is to be owned publicly to private rights....He believed on every being's needs to worship and so this right should be given to all according to their desires. Due to variations in belief he designed a way where we can all come into common understanding yaani serikali inayoongozwa ki-katiba (public governance i.e common right) and ...faith/belief (individual's self governance-private right). Mpaka hapo utaona jinsi ambavyo alikuwa tofauti sana na huyo Marx ambaye mifano ya concept zake ziko wazi ki-practice ilivyokuwa ulaya mashariki.

Tatizo likawa watu wakawa wana impart concept za Marx kwenye za Mwl Nyerere na kwakua za Nyerere hatukuzikuta kwenye vyuo tulivyoenda kusomeshwa basi tukawa tukiulaumu ujamaa tuna ulaumu kwa kupitia u-communism wa Marx. Hata hivyo kitu kimoja Nyerere alishindwa ni transfer of his concept to his people...Magobe alitoa point kuwa objective ya Mungu kwa mwanadamu ilikuwa amjue Mungu wake ampende alafu amtumikie kinyume na hapo mwanadamu akamjua shetani akampenda na kumtumikia hata akaambulia kupata badala ya uzima mauti...Mpaka leo somo hili limebakia gumu sana kuli pass kwa wanadamu wengi....

So failure ya Nyerere inawezekana kabisa ni kutokana na pengine IQ yake kuwa juu sana kiasi ambacho walio mrithi walishindwa ku-perceive concept zake. Kwa mshangao mkubwa watu waka adopt yale kinyume na kile alicho ki advocate mwl. Baada ya hayo kutokea practice ya mabaya (misconception) yale yaliyoleta matokeo mabaya yakawa branded kuwa ni failure ya ujamaa na kujitegemea kwa jina la theorist Nyerere sawa sawa kabisa na jinsi ilivyo kwa Mungu kwamba matokeo ya dhambi ikawa sababu ya mpaka leo mwanadamu kumlaumu Mungu kuwa ndiye msababisha kifo wakati Mungu mwenyewe anasema yeye ni uzima yeyote anaye mkubali na kukaa naye hafi; lakini bado watu wanakimbilia kwa mbio sana kwa shetani badala ya kwenda kwa Mungu.
 
Back
Top Bottom