Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,564
- 7,973
Wadau,
Nilikuwa napitapita huku wilaya ya Kilombero ghafla nikakutana na mkutano wa Chadema katika mji mdogo wa Ruaha Kilombero.
Mkutano unahutubiwa na viongozi wa mkoa wakiongozwa na kamanda Mh. Suzan Kiwanga (mwenyekiti wa chadema mkoa wa morogoro).
Watu kadhaa wame cross kutoka ccm akiwemo Mzee mmoja ambaye ni muasisi wa ccm ruaha amevua gamba na kuvaa gwanda. Ameshangiliwa sana na wananchi inaonekana ni mtu maarufu sana hapa ruaha.
Kwa kweli watu ni wengi sana hapa bahati mbaya tu kitu changu cha mchina camera yake mbovu ningewatupia picha.
Nilikuwa napitapita huku wilaya ya Kilombero ghafla nikakutana na mkutano wa Chadema katika mji mdogo wa Ruaha Kilombero.
Mkutano unahutubiwa na viongozi wa mkoa wakiongozwa na kamanda Mh. Suzan Kiwanga (mwenyekiti wa chadema mkoa wa morogoro).
Watu kadhaa wame cross kutoka ccm akiwemo Mzee mmoja ambaye ni muasisi wa ccm ruaha amevua gamba na kuvaa gwanda. Ameshangiliwa sana na wananchi inaonekana ni mtu maarufu sana hapa ruaha.
Kwa kweli watu ni wengi sana hapa bahati mbaya tu kitu changu cha mchina camera yake mbovu ningewatupia picha.