Vua gamba vaa gwanda ndani ya mwanga kilimanjaro

Jumanne Mkota

JF-Expert Member
Jan 25, 2012
2,917
1,660
wana Bodi
Huku kukiwa na vuguvugu kali la kisiasa na kijamii hapa Mwanga kuhusu wazazi kuanza kuchangishwa kati ya Tsh 500 - 1000 kwa ajili ya ununuzi wa Chaki Shule za Msingi. Leo tarehe 18/05/2012 makamanda wa ukweli aka wazee wa m4c wapo Mwanga wana mikutano 10 ya operesheni hii muhimu kwa ukombozi wetu. nitawajulisha kila kinachojiri hapa Kituri CDM ilipoanzia wilayani Mwanga. Stay Turned
 
wana Bodi
Huku kukiwa na vuguvugu kali la kisiasa na kijamii hapa Mwanga kuhusu wazazi kuanza kuchangishwa kati ya Tsh 500 - 1000 kwa ajili ya ununuzi wa Chaki Shule za Msingi. Leo tarehe 18/05/2012 makamanda wa ukweli aka wazee wa m4c wapo Mwanga wana mikutano 10 ya operesheni hii muhimu kwa ukombozi wetu. nitawajulisha kila kinachojiri hapa Kituri CDM ilipoanzia wilayani Mwanga. Stay Turned
kikore mtengeti////inaanzia kituri m4c ya mwanga,,,,,,,,,,nawapa moyo,,,uparen tumechelewa sana ccm wametufanya mataahira yao,,,,,freedom iz coming///////
 
tunawaunga mkono watu wamwanga ni wakati wenu huu wa kuamka na kujitambua kwamba magamba za baba wala mama yenu m4C
 
kikore mtengeti////inaanzia kituri m4c ya mwanga,,,,,,,,,,nawapa moyo,,,uparen tumechelewa sana ccm wametufanya mataahira yao,,,,,freedom iz coming///////

Waende mpaka Usangi kwa Msuya !
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom