Tumaini Makene
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 2,642
- 6,071
Tatizo la kusini hawawaamini wachaga wa kaskazini!
Hayo ni maoni yako. Umetumia uhuru wako. Yanaweza kuheshimika, lakini si lazima yakubaliwe. Je unazo taarifa kuwa wapo Watanzania wa Kusini ambao wamevuka kiwango cha kufikiria kikanda, walipanga kuandamana kuja Makao Makuu ya CHADEMA kuhoji kulikoni chama hakipeleki nguvu huko kujenga ngome nyingine wakati wanazo taarifa kuwa maamuzi yalishafikiwa siku nyingi sana? Mtabaki kusema hivyo CHADEMA inasonga mbele. Haya...