Wangama guy
Senior Member
- Feb 16, 2012
- 191
- 27
Nimeipenda sana hii. Tunahitaji viongozi wachacharikaji kwa ajili ya kukijenga chama. Tukaze buti, hakuna kulala hadi kieleweke!
Kwahiyo hayo yana uhusiano gani na shughuli za kimaendeleo hapo Same?
Kwahiyo hayo yana uhusiano gani na shughuli za kimaendeleo hapo Same?
mtu mzima vipi na miye nimetahiriwa?wewe unajuwa hilo swali nimeliuliza kwenye context gani?usidandie treni kwa mbeleHivi wewe pamoja na kuwa mtu mzima hujui uhusiano wa siasa na maendeleo? Hizi ni akili za wapi wakuu?
@bangusule, kubadili viongozi wa chama kile kile mlidhani ni solution?Bado mlikuwa inside the box.Najuwa tatizo la maji ni sugu na sidhani kama limekwishashughulikiwa.Magamba is the same, and the problems we are facing as a nation are the same.However hizi picha zina encourage,wananchi wamechoshwa,its time to burry them (ccm) once and for allmushi,
sisi huku Vuathu/Upareni huwa tunaimba "mtani muagha, mtani muagha, unenya uale, unenya uale"!! sasa tukiweka utani pembeni, wananchi wa upare tumekuwa na rekodi ya kuwabadilisha wabunge mara kwa mara na mara zote tumefanya hivyo baada ya kutoridhika na utendaji wao wa kazi na kusukuma gurudumu la maendeleo. hii ni tofauti na maeneo mengine ya tanzania ambapo huchagua wabunge walewale kwa mihula mingi.
kuhusu maendeleo, wananchi wa Upare wana ari ya maendeleo na hiyo inathibitishwa na jinsi wanavyofanya kazi kwa kujitolea(tunaita msaragambo) katika mazingira magumu sana. ndiyo maana kuna watu wakifika upare wakiona barabara tulizochimba wenyewe hawaamini wanadhani ametujenge msuya!! tulichokosa sisi ni wabunge madhubuti tangu aondoke mzee wetu chediel mgonja "kaghembe."
tumejaribu kupata mbunge makini ndani ya ccm, hatukufanikiwa. sasa tunakwenda kutafuta mbunge nje ya ccm baada ya kujiridhisha kwamba mfumo wa utawala wa ccm umeoza.