Maseto
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 944
- 545
Mzee Msekwa,makamu mwenyekiti CCM, ANATOA MAJIBU YA HATARI SANA KWA CHAMA Chetu ktk kipindi cha Jenerali on Monday.
Anasema kuwa imeshindikana kuwashughulikia wanachama wanaotuhumiwa kwa ufisadi kwa kuwa haiwezekani kushughulikia makosa ya jinai kisiasa.
Hajasema kama kuna mkakati wowote wa kuwaondoa na ameahidi kutoshughulikia kwa sababu hawawezi kuagizwa na wapinzani wanaosema 'vua gamba, vaa gwanda'. Kwa maöni yangu, haya majibu ni mabaya zaidi kutolewa na kiongozi wa CCM.
Siamin kama akili yake iko sawa.
Anasema kuwa imeshindikana kuwashughulikia wanachama wanaotuhumiwa kwa ufisadi kwa kuwa haiwezekani kushughulikia makosa ya jinai kisiasa.
Hajasema kama kuna mkakati wowote wa kuwaondoa na ameahidi kutoshughulikia kwa sababu hawawezi kuagizwa na wapinzani wanaosema 'vua gamba, vaa gwanda'. Kwa maöni yangu, haya majibu ni mabaya zaidi kutolewa na kiongozi wa CCM.
Siamin kama akili yake iko sawa.