serikali imefilisika,we endelea kupga shule 2 mdogo wangu.Respect kwa wote! Wanaharakati wangu wa udsm vp bodi wametoa jibu gani kuhusu boom kabla ya UE? Naombeni mnijuze wadau maana sikupata info baada ya levo square ya leo.
ya kikweteserikali imefilisika,we endelea kupga shule 2 mdogo wangu.