s.fm
JF-Expert Member
- Jul 8, 2009
- 663
- 117
Mtoto wa miaka tisa kajifungua mtoto huko mbalizi mkoani Mbeya.
Alipewa mimba na kaka yake (mtoto wa mama yake mkubwa) mwenye umri wa miaka 18, ambaye alikua akimtishia kwa kisu ili afanye nae mapenzi
Mtoto huyo alipogundulika na mimba mama yake alimficha ndani kwa miezi saba ili watu wasimuone, na mtoto wake anaendelea vizuri tu
Habari zaidi soma gazeti la Mtanzania ya leo Jan 7
Jamani tunaelekea wapi haki ya nani tena mwe!
Alipewa mimba na kaka yake (mtoto wa mama yake mkubwa) mwenye umri wa miaka 18, ambaye alikua akimtishia kwa kisu ili afanye nae mapenzi
Mtoto huyo alipogundulika na mimba mama yake alimficha ndani kwa miezi saba ili watu wasimuone, na mtoto wake anaendelea vizuri tu
Habari zaidi soma gazeti la Mtanzania ya leo Jan 7
Jamani tunaelekea wapi haki ya nani tena mwe!