Vodafone Mobile WiFi

Adolph

JF-Expert Member
Sep 26, 2010
895
346
wakuu habari zenu.. nimenunua moderm kutoka vodacom ambayo unaweza kuitumia kama wireless. moderm hii ni aina ya Huawei ssid: Vodafone Mobile WiFi na speed yake ni 7.2Mbps. nataka niichakachue ili niweze kutumia line yoyote nawauliza wanajamvi kama hii kitu inawezekana au nisijisumbue..nilipo speed ya voda ni ndogo sana. vodafone-mobile-wi-fi-top-v1.jpg Vodafone-mobile-WiFi-unboxing-video.jpg
 
Acha wizi, nunua ya mtandao unaoona upo fasta!! maendeleo ya Tanzania yanaletwa na watanzania na yanaanza na wewe.
 
kutumia kwa modem ya voda kwa line zote ni kitu kiwezekanavyo. modem za voda kama k3571-z hazihitaji kufanyiwa chechote zinatumia any line na kuna baadhi zinahitaji unlocking. chukua hiyo modem yako mpya na uweke line ya airtel. kama haitasoma, angalia model number yake uweke hapa nitakupa msaada zaidi

regards leh
de8yv8.gif
 
Last edited by a moderator:
Kaingia mitini.....!!! hawa ndio wale mawakala wa Voda kazi yao kuja kupima upepo humu Ngoja nikununue 4 za familia maana wakija ku customize modem zao tumekwisha wadau!!!
 
kutumia kwa modem ya voda kwa line zote ni kitu kiwezekanavyo. modem za voda kama k3571-z hazihitaji kufanyiwa chechote zinatumia any line na kuna baadhi zinahitaji unlocking. chukua hiyo modem yako mpya na uweke line ya airtel. kama haitasoma, angalia model number yake uweke hapa nitakupa msaada zaidi

regards leh
de8yv8.gif
Inawezekana hujanielewa au ni ujeuri tu mkuu..kampuni gani tena linatoa moderm kama hizi ambazo ni wireless? Hapa siongelei moderm za kawaida. Hizi zinauzwa 150,000 kama huwezi kunisaidia ni bora ukae kimya ndugu yangu.
 
Last edited by a moderator:
Acha wizi, nunua ya mtandao unaoona upo fasta!! maendeleo ya Tanzania yanaletwa na watanzania na yanaanza na wewe.

Wizi ni kutumia kitu bila kulipa..moderm yenyewe niliinunua 150,000 wizi uko wapi hapo? Au nisaidie ndugu yangu kama Tigo wanazo niende nikazinunue maana hapa nilipo tigo ndo ipo kasi ila najua tigo hawana hizi wireless moderm
 
wakuu habari zenu.. nimenunua moderm kutoka vodacom ambayo unaweza kuitumia kama wireless. moderm hii ni aina ya Huawei ssid: Vodafone Mobile WiFi na speed yake ni 7.2Mbps. nataka niichakachue ili niweze kutumia line yoyote nawauliza wanajamvi kama hii kitu inawezekana au vip..nilipo speed ya voda ni ndogo sana.

Kaka hujataja namba ya modem thats why watu hawaelewi lazma kuwe na namba kwa mbele ie, u8800
 
Acha wizi, nunua ya mtandao unaoona upo fasta!! maendeleo ya Tanzania yanaletwa na watanzania na yanaanza na wewe.

mitandao ya simu inatuibia sana. We deserve more than that. Hapa tunajaribu kurudisha kidogo wanachotuibia. Kama wewe una uwezo wa kununua bundle ya laki na nusu poa. Lakini tutaendelea kupeana ujuzi kila wakati inapotokea tundu na kutuwezesha kupata vya bure. Nashukuru mwaka unakatika cjanunua kifurushi wala intanet cafe. Mambo yote room kwangu
 
mitandao ya simu inatuibia sana. We deserve more than that. Hapa tunajaribu kurudisha kidogo wanachotuibia. Kama wewe una uwezo wa kununua bundle ya laki na nusu poa. Lakini tutaendelea kupeana ujuzi kila wakati inapotokea tundu na kutuwezesha kupata vya bure. Nashukuru mwaka unakatika cjanunua kifurushi wala intanet cafe. Mambo yote room kwangu

Unaposema wanatuibia unakosea mkuu manake kununua au kutumia bidhaa ya mitandao ya simu ni mkataba unaingia wewe na kampun husika wameeka price we umenunua sasa wamekuibia nini?
 
Unaposema wanatuibia unakosea mkuu manake kununua au kutumia bidhaa ya mitandao ya simu ni mkataba unaingia wewe na kampun husika wameeka price we umenunua sasa wamekuibia nini?
what i really meant is, gharama wanazotoza ni kubwa kuliko huduma inayopatikana, na wanajua hakuna njia mbadala ya kupata huduma ya intanet isipokuwa kwa wao tu, inabidi tu kuingia huo mkataba, mfano: umenunua bundle na unapata 4kb/s sasa inakunufaisha vipi? hapo hata page ya kawaida itachukua zaidi ya dakika kufungua!

nb: sikatazi watu kununua ila, its not win-win situation
 
Kaingia mitini.....!!! hawa ndio wale mawakala wa Voda kazi yao kuja kupima upepo humu Ngoja nikununue 4 za familia maana wakija ku customize modem zao tumekwisha wadau!!!

hawa voda sio kwamba hawaelewi mambo ya customize wana jua sana mbona mordem zao za zamani kama k3565-rev 2 zilikuwa customize wakatoa K3570-z zikachakachuliwa kwa join air imekuaje kwa hizi za toleo jipya E173 zichakachuliwe kwa unlock code tu ? ni kwamba wamegundua wali ingiza pesa nyingi kwa kwa biashara za mordem za K-3570 ndio wakaona
watuletee za E173 ili tusisumbuke zaid na watu wote watakimbilia mordem zao wanacho jali ni maslahi yao tu na huko mbeleni usishangae zikawa unlocked kabisa
 
Wizi ni kutumia kitu bila kulipa..moderm yenyewe niliinunua 150,000 wizi uko wapi hapo? Au nisaidie ndugu yangu kama Tigo wanazo niende nikazinunue maana hapa nilipo tigo ndo ipo kasi ila najua tigo hawana hizi wireless moderm

Mkuu Adolph wala huna haja ya kutoa jasho kuhangaika ku unlockn modem yako. Tembelea hapa ili uweze uweze kujipatia kifaa cha kisasa kiitwacho MiFi chenye uwezo wa kuunganisha hadi devices 5 kwa wireless kwa wakati mmoja. Kifaa hiki. kinasupport line zote za GSM.
 
Last edited by a moderator:
hawa voda sio kwamba hawaelewi mambo ya customize wana jua sana mbona mordem zao za zamani kama k3565-rev 2 zilikuwa customize wakatoa K3570-z zikachakachuliwa kwa join air imekuaje kwa hizi za toleo jipya E173 zichakachuliwe kwa unlock code tu ? ni kwamba wamegundua wali ingiza pesa nyingi kwa kwa biashara za mordem za K-3570 ndio wakaona
watuletee za E173 ili tusisumbuke zaid na watu wote watakimbilia mordem zao wanacho jali ni maslahi yao tu na huko mbeleni usishangae zikawa unlocked kabisa

Yap upo sahihi fatma na ndo mana e173 yao wanauza 35,000 wakati e173 ya airtel ni 30,000 kwa competition ya mitandao ya nchini voda wangeeka customized na bei yao ya 35,000 wasingepata mtu. Wanauza 35,000 uchakachue ziuzike nyingi ili wapate profit wanajua kabisa
 
Yap upo sahihi fatma na ndo mana e173 yao wanauza 35,000 wakati e173 ya airtel ni 30,000 kwa competition ya mitandao ya nchini voda wangeeka customized na bei yao ya 35,000 wasingepata mtu. Wanauza 35,000 uchakachue ziuzike nyingi ili wapate profit wanajua kabisa
Mbona voda shop wameshusha bei sasa wanauza 30,000/= sema zile voda shop za wajuaji ndio wanauza 35,000 mpaka 44,500/=
 
Hapo ni safi. Mimi ninatumia sim card yeyote katika modem yangu ya vodafone. Zilizo nyingi hazihitaji hata kuzi unlock, wewe ni kuweka tu laini tofauti ikisoma mtandao una create connection manually katika Isp number weka *99# hapo kwisha habari yao.
 
kutumia kwa modem ya voda kwa line zote ni kitu kiwezekanavyo. modem za voda kama k3571-z hazihitaji kufanyiwa chechote zinatumia any line na kuna baadhi zinahitaji unlocking. chukua hiyo modem yako mpya na uweke line ya airtel. kama haitasoma, angalia model number yake uweke hapa nitakupa msaada zaidi

regards leh
de8yv8.gif


Samahani mkuu kwa kuvamia treni kwa mbele! Yangu mimi ni Modem ya Voda ya Huawei E220. Ningependa kuichakachua ile vichwa vya Tigo na Airtel maana eneo nililopo mtandao wa Voda ni magumashi kiasi. Naomba msaada Tafadhali.
 
Last edited by a moderator:
ndugu yangu usifikiri kila mtu anaishi kwa ubabaishaji..mi niliomba msaada na hii moderm nimekaa nayo zaidi ya mwaka ila speed ya voda imezingua ndo maana nataka nibadilishe..kama unaona huwezi kunisaidia unakaa kimya.. nafikiri utakua umenielewa@DEVUQUARTER-DEVUKOTA

 
Back
Top Bottom